King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
You're a fool.
You are a Pu$$y A$$ Niqqa and Punk A$$ B!t<h.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're a fool.
Binafsi nilimaanisha mtu mweupe na sio mzungu, ningetaka kuandika mzungu ningeandika maana pia ni neno la kiswahilikwani race ni mbili tu duniani, mweupe na mweusi ?
Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Hata vacation ukizubaa unalambwaIla baadhi ya wamarekani hawawapendi watu weusi haijalishi umezaliwa huko au umezamia, wengi wanaigiza. Sasa kama hivyo ukiingia kwenye 18 zake anakumaliza.
Maerkani sio nchi salama yakusema unaenda kuishi huko. Labda vacation tu unarudi zako.
Mzungu ndio mtu mweupe.Binafsi nilimaanisha mtu mweupe na sio mzungu
Sasa nikiulizwa huyo aliyemuua mtz ni mweupe au mweusi nijibu nini?Mzungu ndio mtu mweupe.
Kwahiyo huyo aliyemuua mtz ni mweusi au mweupe?Mzungu ndio mtu mweupe.
Unaona shida hiyo Sasa na kingine ndugu haya matukio yamepata nguvu zaidi wakati wa utawala wa Trump kwa sera zake za kibaguzi kwa kuwajaza ujinga wajinga wenzie weupe kujiona wako bora zaidi ya wengine USA.
Kiukweli watu wetu wanaokaa huko wapewe tahadhari kujiepusha mikusanyiko isiyo ya lazima. Matukio haya yanatishs na kuki-create mayhem kwa watu hasa wenye watoto mashuleni. Kuna mama mmoja alihojiwa wanae wamekubwa na hali ya mashambulio hayo mara mbili na kwa shule mbili tofauti. Sasa vaa viatu vya mama huyo na vipi hao wanae mana kwa bahati matukio yote walipona.
Kwa US,huyu ni brown au person of colour...Sasa nikiulizwa huyo aliyemuua mtz ni mweupe au mweusi nijibu nini?
Rest in peace kijana ulie kua unapambania ndoto zako lakini mzungu asie na huruma kakatisha uhai wako na kuipa jeraha familia yako poleni sana wanafamilia, marekani vijana wengi ni ma psychopath.View attachment 1977584
Unakuta muuaji ana stress za mapenzi kaachwa na malaya wake ana hasira kama HamzaKuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa [emoji848] habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
![]()
20-year-old shot and killed almost instantly by suspect after minor crash, FBCSO says
Authorities say the victim, who was driving, hit the shooter's car just moments before the teenage gunman reportedly opened fire.abc13.com
brown ni jamii ya wahindi na waarabu, huyu ni black.Kwa US,huyu ni brown au person of colour...
Kwa baadhi ya mataifa ikiwemo bongo,huyu ni mweupe..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
....brown ni jamii ya wahindi na waarabu, huyu ni black.
Ukisoma jina la muuaji (Roman Vasquez) ni kama Mspanish vile!
Na ndio maana huko juu nikasema mweupeKwa US,huyu ni brown au person of colour...
Kwa baadhi ya mataifa ikiwemo bongo,huyu ni mweupe..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Kuna wakati huwa nachangia humu JF pale wasiowahi fika Marekani au kusafiri kwenda nje ambao wanaona Marekani au Ulaya ni Kanaan au ni nchi za maziwa na asali kuwa zunguka wee nenda hadi mwezini hapa Bongo ni peponi na maisha yetu ni mazuri sana kulinganisha na maisha ya songombingo za ughaibuni lakini wengi hawaelewi ,kibaya zaidi sisi ngozi nyeusi hatupendwi kabisa na hizi ngozi nyeupe. Marekani maisha ya ngozi nyeusi ni sawa tu na maisha ya kuku, wakati wowote unaweza uawa au kuzuriwa. Mtu mweusi haishi kwa amani huko ughaibuni na hana haki,kila jambo baya linamuangukia yeye.Kuna binadamu hawana huruma. Mtu kama huyu kabla hajaua hakusikia ile sauti inayokuonya kabla hujafanya tendo baya? Maana hiyo sauti ipo kwa kila binadamu.
Mara nyingi hiyo sauti inatoaga onyo, usifanye hivyo, matokeo yake ni mabaya, Mungu hapendi.
Ninadamu sisi niwabishi. Sasa ndugu pande zote muuaji na ndugu wa marehemu wako ktk haki gani muda?
Mungu awape wepesi, apumzike kwa amani mdogo wetu.
Kuna mmoja alizaana na binti wa kizungu, huyo baba alitusimulia kuwa wale watu ni wa aguzi sana.Kuna wakati huwa nachangia humu JF pale wasiowahi fika Marekani au kusafiri kwenda nje ambao wanaona Marekani au Ulaya ni Kanaan au ni nchi za maziwa na asali kuwa zunguka wee nenda hadi mwezini hapa Bongo ni peponi na maisha yetu ni mazuri sana kulinganisha na maisha ya songombingo za ughaibuni lakini wengi hawaelewi ,kibaya zaidi sisi ngozi nyeusi hatupendwi kabisa na hizi ngozi nyeupe. Marekani maisha ya ngozi nyeusi ni sawa tu na maisha ya kuku, wakati wowote unaweza uawa au kuzuriwa. Mtu mweusi haishi kwa amani huko ughaibuni na hana haki,kila jambo baya linamuangukia yeye.