Fabio santolo
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 321
- 241
Kuna wengine humu jf kipindi cha uongozi wa kikwete walikuwa hawajazaliwa...utakuta li-mtu linakomaa kwamba kipindi cha mwendazake tuliokota maiti kwenye viroba,kama vile hayo mambo hayakuwepo kabla ktk nchii hii