SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe ndiye maskini ndiyo maana umejipa kazi ya kumsifia mwenda zake ukitegemea utateuliwa, safari hii teuzi za kimalaya malaya mlizozoea enzi ya mwendazake hakuna. Sisi tulishazoea kuishi bila mbeleko na maisha tumeyapatia kitambo tu.Nimemwambia nani anyamaze?
Nmemwambia mbali na kukosoa ila atafute hela aondokane na umasikini unaomsababishia kuwa na stress na kuandika vitu vya kijinga