Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

Kwa mtazamo wa akina Kambona, Mwl. Nyerere aliwagawa watz! Kama ww Kambona wa leo😜! Ni mtazamo hasi wako tu hakuna lolote la maana! Kipindi cha Mwl, hilo kundi lenu la akina Kambona lilikuwa dogo sana, awamu zilizofuata baadaye zimelikuza na sasa na mnamuona Mh. Dr. JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power, amen) kuwa mwiba sana kwenu kwa kuvuruga agenda zenu za upigaji😜!
Tunaofuata falsafa ya Nyerere hata siku moja hatuwezi kubaliana na hoja za Magufuri za kuthamini vitu kuliko wananchi wake,kujipendekeza pendekeza,uono uongo,ubabe ubabe,umimi mimi.ukanda ukanda,ukabila ukabila,dharau dharau,ikulu kuhamishiwa kwao,hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na tunu za taifa.
 
Wewe uliyeachwa mjane ndiyo una msongo wa mawazo kwani yule dhalim mumeo anabanikwa kama mshikaki huko jehanam. Sisi huku ni vicheko na bata sana kuondokewa na mtesi wetu
Nmekwambia tu jitahidi ufanye kazi upate hela ili uachane na umasikini unaokufanya uwe na msongo wa mawazo kiasi hiki
 
Nmekwambia tu jitahidi ufanye kazi upate hela ili uachane na umasikini unaokufanya uwe na msongo wa mawazo kiasi hiki
Usihamasisishe watu kunyamaza hata kama kuna kitu kinawaumiza kwa kisingizio cha kujali sana maslahi yako,huo ni unyonge.
 
Tunaofuata falsafa ya Nyerere hata siku moja hatuwezi kubaliana na hoja za Magufuri za kuthamini vitu kuliko wananchi wake,kujipendekeza pendekeza,uono uongo,ubabe ubabe,umimi mimi.ukanda ukanda,ukabila ukabila,dharau dharau,ikulu kuhamishiwa kwao,hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na tunu za taifa.
Basi hujakielewa unachokifuata i see😜! Hayo unayompakazia hayamhusu JPM! Kila kona ya Tz imejengwa na kuneemeka kwa mara ya kwanza Tz! Labda kama kuwa rais kunaondoa haki ya kupata maendeleo sehemu atokayo rais! Nenda Msoga ukaone maana halisi ya uyasemayo siyo Chato!
 
Usihamasisishe watu kunyamaza hata kama kuna kitu kinawaumiza kwa kisingizio cha kujali sana maslahi yako,huo ni unyonge.
Nimemwambia nani anyamaze?

Nmemwambia mbali na kukosoa ila atafute hela aondokane na umasikini unaomsababishia kuwa na stress na kuandika vitu vya kijinga
 
kuna watu wamekaa na kutufanya kama hatuna akili, mambo ya watu kutekwa, kuuawa na kuteswa yalianza awamu ya nne kwa hiyo wasijifanye kutuambia heri ya fulani sisi ndio tunajua nani mzuri nani mbaya
 
Hii nchi hakuna kundi la "wanafiki" kama CHADEMA.
Hili ni genge wa "wahuni" na "wanafiki" kupindukia.
Sasa hivi wanamshabikia Madam SSH utafikiri yeye siyo mwana-CCM. Kila analofanya SSH wanampa sifa na kumtukuza as if she is one of them.

Wamesahau kwamba mvinyo ni ule ule, kilichobadilika ni chupa tu basi.
 
Basi hujakielewa unachokifuata i see😜! Hayo unayompakazia hayamhusu JPM! Kila kona ya Tz imejengwa na kuneemeka kwa mara ya kwanza Tz! Labda kama kuwa rais kunaondoa haki ya kupata maendeleo sehemu atokayo rais! Nenda Msoga ukaone maana halisi ya uyasemayo siyo Chato!
Wewe mimi siyo mtoto ninaongea nilichokiona kwa hao wote wawili na siyo hadithi hadithi kama vile za Mkwawa au Kinjekitile Ngwale,
 
Dah moto unawaka humu ndani baada ya muda utalipuka tu
 
Mwangosi aliuawa na askari kwa sababu ya mob psychology tu ya maaskari, huwezi kumtuma askari akaue mtu kwa bomu la machozi.

Ulimboka huyo alipewa kibano kidogo tu cha kumshikisha adabu maana alikuwa anaendesha migomo isiyokoma ya madaktari ya kuparalyse huduma za Afya kwa wananchi, kwanza alipaswa ashitakiwe kwa kusababisha vifo vya watu wengi sana sababu ya kuendesha migomo kinyume cha taaluma ya utabibu


Sasa tuambie hawa wafuatao
Maiti za kwenye viroba
Ben Saananei yuko wapi
Simon Kanguye yuko wapi
Kamanda mawazo vipi?
Aliyempiga risasi tundu Lisu
Aliyemteka Roma mkatoliki
Aliyemteka Mo
Achilia mbali waliokufa kwa presha sababu ya uporaji wa pesa zao
Au waliokufa kwa mshtuko wa moyo kwa kuvunjiwa nyumba zao
Au waliokufa kwa msongo wa mawazo kwa kuporwa korosho zao

Ukifuatikia kwa ndani mwangosi hakuuawa bahati mbaya. Alikuwa akidhaniwa kuwa ni chadema kwa muda mrefu. Hicho kibano kidogo unachosema nawaza ungekuwa umekipata wewe au baba yako kama ingekuja shuhudia haya maneno. Mungu alimponya Mwangosi kama Tundu Lissu alivyoponywa. Akina Kubenea walimwagiwa Tindi Kali.

Vijana wengi walikufa kwa matumizi ya madawa ya kulevya na biashara hiyo.

Hao uliowataja nikutajie walipo unaonesha kuwa wewe huna akili maana sijaona palipoandikwa kuwa mleta mada anawafahamu hao. Udhalimu mnapoupaka rangi flani au kuutetea kwa misingi ya kabila,dini au itikadi ni kukubali kuwa upande wa udhalimu indirect.
 
Mwangosi aliuawa na askari kwa sababu ya mob psychology tu ya maaskari, huwezi kumtuma askari akaue mtu kwa bomu la machozi.

Ulimboka huyo alipewa kibano kidogo tu cha kumshikisha adabu maana alikuwa anaendesha migomo isiyokoma ya madaktari ya kuparalyse huduma za Afya kwa wananchi, kwanza alipaswa ashitakiwe kwa kusababisha vifo vya watu wengi sana sababu ya kuendesha migomo kinyume cha taaluma ya utabibu


Sasa tuambie hawa wafuatao
Maiti za kwenye viroba
Ben Saananei yuko wapi
Simon Kanguye yuko wapi
Kamanda mawazo vipi?
Aliyempiga risasi tundu Lisu
Aliyemteka Roma mkatoliki
Aliyemteka Mo
Achilia mbali waliokufa kwa presha sababu ya uporaji wa pesa zao
Au waliokufa kwa mshtuko wa moyo kwa kuvunjiwa nyumba zao
Au waliokufa kwa msongo wa mawazo kwa kuporwa korosho zao
Umewafikiria waliokufa kwa kukosa madawa,kujifungu matumizi ya madawa ya kulevya?mabomu ya mbagala,mauaji ya albino n.k? Ungeomba tulio ndani tukuelezee kinachofanyika. Mngekuwa na akili mngedai katiba mpya wauaji wote haijalishi walikuwa na nafasi gani washtakiwe. Asiwepo wa kuwa juu ya sheria.
 
Huwa nawatafakari sana Watanzania wa kizazi hiki wanaoimba kikwete alikuwa anapenda demokrasia. Najiuliza je Dr. Ulimboka au Mwangosi naye anasema hivyo hivyo Marehemu huyu?

Najiuliza waliouawa kwenye chaguzi ya Igunga nao wanasema hivyo hivyo au lile bomu lililolipuliwa kule Arusha kwenye Mkutano wa Chadema? Akina Alphonse Mawazo nao wanakubaliana na hoja hii?

Haya yalitokea katika Utawala wa kikwete. Kumwagiwa Tindi Kali na Kinusurika kuuawa Dr. Ulimboka baada ya kutupwa katika Msitu wa Mabwe pande.

Katika miaka kadhaa Tanzania haikuwahi kuwa salama. Isipokuwa Watanzania ni wanafiki kwa kiwango kikubwa. Kwani ni lini kauli za kuanza kusema Chadema itakufa zilianzishwa?

Kwani Dkt. Slaa na mkewe walipopigwa na kuvunjwa mkono Dr. Slaa ilikuwa lini? Mpaka Dr. Slaa kununuliwa kusaliti wapinzani ilikuwa Utawala upi?

Yaani tumesahau Richmond,Iptl,Tegeta Escrow na kashfa nyingi za kutisha? Madawa ya kulevya na ufisadi mkubwa na kisha Rais kuja sema wahusika wakikamatwa nchi itayumba akicheka mbele za umma wa watanzania?

Watanzania ni wanafiki kwa kiasi kikubwa sana. Ni watu wa kuogopwa sana. Kilichomfanya kikwete aonekane ni bora pia ni unafik wake wa kuweza kuuma na kupuliza.

Dkt. Magufuli hakuweza kupuliza. Aliuma na kuacha maumivu yaendelee kubak. Utawala wake ulikuwa ni ule ule wa Ubabe akilazimisha alichoamini kuwa ni maendeleo. Hakutaka kupingwa.

Jamani tumesahau Makonda alipewa zawadi ya Ukuu wa Wilaya baada ya kufanya kitendo gani cha kishujaa? Uhuni uliofanyika katika mchakato hewa wa Katiba na Mabilion ya pesa yaliyotumika?

Tunasahau kwa kuwa angalau wapinzania walikuwa wakipewa poshi kutulizwa n.k akina Zitto Kabwe na Mbowe mara kadhaa walipokuwa wakimbana sana kikwete alikuwa anaonana nao wanayamaliza.

Magufuli alikuwa hashirikiani nao katika misingi hiyo. Aligoma hata aliposhauriwa kuwa awe anaonana nao "kuwatoa kiaina" yeye aliwatenga kabisa. Hapa alikosea.

Leo hii ungewachukua akina Dr. Ulimboka, akina Mwangosi n.k ukawaambia Kikwete alikuwa mwanademokrasia wataangua kilio kikubwa. Aliyetuhumia kuhusika na hujuma ile ya Dr. Mwangosi alisemekana kuwa Ikulu. Hakushtakiwa akapewa zawadi ya Cheo.

Hili wanasiasa wengi hawazungumzi sababu Dr. Mwangosi hakuwa mwanasiasa. Kumbe angekuwa mwanasiasa angekuwa Tundu Lissu wa miaka ile. Tumesahau Madawa ya kulevya yalivyokuwa moja ya biashara kubwa nchini. Na vijana wetu wengi kuharibika mitaani wakiwemo wasanii.

Watanzania tutabadilisha nchi ikiwa tutaacha unafiki na kuamua kwa dhati kupambana na tawala zote dhalimu. Tupambane Katiba iweze tenga Nguvu kubwa wanayopewa marais juu ya kila sheria na kila mtu kufanya wapendavyo.

Tukiendelea na ubinafsi kuangalia watu kimaslahi, kidini na kikabila. Kila mwaka tutagawanyika kwa misingi hiyo na maadui watatutawala. Kama tutaendelea kusema moyoni huyu ni wa kwetu sisi. Nchi hii itasimama hapa huku wabunge wakitaka waongezewe mishahara bila woga kabisa.

Mimi nmeasi chama. Nmebaki na Utanzania wangu. Tumeona madhara ya kuwa na Katiba Mbovu sasa tuililie katiba mpya. Tunaweza jisahau kwa kulambishwa asali wakati tunaumwa Kansa na mguu unaoza. Tutapewa dawa ya usingizi tukija shtuka mwili wote umeoza kwa kansa.
Kwani nani kakubishia tunakubaliana na hoja zako mkuu
 
Huwa nawatafakari sana Watanzania wa kizazi hiki wanaoimba kikwete alikuwa anapenda demokrasia. Najiuliza je Dr. Ulimboka au Mwangosi naye anasema hivyo hivyo Marehemu huyu?

Najiuliza waliouawa kwenye chaguzi ya Igunga nao wanasema hivyo hivyo au lile bomu lililolipuliwa kule Arusha kwenye Mkutano wa Chadema? Akina Alphonse Mawazo nao wanakubaliana na hoja hii?

Haya yalitokea katika Utawala wa kikwete. Kumwagiwa Tindi Kali na Kinusurika kuuawa Dr. Ulimboka baada ya kutupwa katika Msitu wa Mabwe pande.

Katika miaka kadhaa Tanzania haikuwahi kuwa salama. Isipokuwa Watanzania ni wanafiki kwa kiwango kikubwa. Kwani ni lini kauli za kuanza kusema Chadema itakufa zilianzishwa?

Kwani Dkt. Slaa na mkewe walipopigwa na kuvunjwa mkono Dr. Slaa ilikuwa lini? Mpaka Dr. Slaa kununuliwa kusaliti wapinzani ilikuwa Utawala upi?

Yaani tumesahau Richmond,Iptl,Tegeta Escrow na kashfa nyingi za kutisha? Madawa ya kulevya na ufisadi mkubwa na kisha Rais kuja sema wahusika wakikamatwa nchi itayumba akicheka mbele za umma wa watanzania?

Watanzania ni wanafiki kwa kiasi kikubwa sana. Ni watu wa kuogopwa sana. Kilichomfanya kikwete aonekane ni bora pia ni unafik wake wa kuweza kuuma na kupuliza.

Dkt. Magufuli hakuweza kupuliza. Aliuma na kuacha maumivu yaendelee kubak. Utawala wake ulikuwa ni ule ule wa Ubabe akilazimisha alichoamini kuwa ni maendeleo. Hakutaka kupingwa.

Jamani tumesahau Makonda alipewa zawadi ya Ukuu wa Wilaya baada ya kufanya kitendo gani cha kishujaa? Uhuni uliofanyika katika mchakato hewa wa Katiba na Mabilion ya pesa yaliyotumika?

Tunasahau kwa kuwa angalau wapinzania walikuwa wakipewa poshi kutulizwa n.k akina Zitto Kabwe na Mbowe mara kadhaa walipokuwa wakimbana sana kikwete alikuwa anaonana nao wanayamaliza.

Magufuli alikuwa hashirikiani nao katika misingi hiyo. Aligoma hata aliposhauriwa kuwa awe anaonana nao "kuwatoa kiaina" yeye aliwatenga kabisa. Hapa alikosea.

Leo hii ungewachukua akina Dr. Ulimboka, akina Mwangosi n.k ukawaambia Kikwete alikuwa mwanademokrasia wataangua kilio kikubwa. Aliyetuhumia kuhusika na hujuma ile ya Dr. Mwangosi alisemekana kuwa Ikulu. Hakushtakiwa akapewa zawadi ya Cheo.

Hili wanasiasa wengi hawazungumzi sababu Dr. Mwangosi hakuwa mwanasiasa. Kumbe angekuwa mwanasiasa angekuwa Tundu Lissu wa miaka ile. Tumesahau Madawa ya kulevya yalivyokuwa moja ya biashara kubwa nchini. Na vijana wetu wengi kuharibika mitaani wakiwemo wasanii.

Watanzania tutabadilisha nchi ikiwa tutaacha unafiki na kuamua kwa dhati kupambana na tawala zote dhalimu. Tupambane Katiba iweze tenga Nguvu kubwa wanayopewa marais juu ya kila sheria na kila mtu kufanya wapendavyo.

Tukiendelea na ubinafsi kuangalia watu kimaslahi, kidini na kikabila. Kila mwaka tutagawanyika kwa misingi hiyo na maadui watatutawala. Kama tutaendelea kusema moyoni huyu ni wa kwetu sisi. Nchi hii itasimama hapa huku wabunge wakitaka waongezewe mishahara bila woga kabisa.

Mimi nmeasi chama. Nmebaki na Utanzania wangu. Tumeona madhara ya kuwa na Katiba Mbovu sasa tuililie katiba mpya. Tunaweza jisahau kwa kulambishwa asali wakati tunaumwa Kansa na mguu unaoza. Tutapewa dawa ya usingizi tukija shtuka mwili wote umeoza kwa kansa.
Mkuu ndo maana uchaguzi wa 2015 dr. Slasa alishinda hawakumtangaza tuanzie hapo.

Kwanini? hakutangazwa

usiwalaumu watanzamia walitekeleza wajibu wao
 
Wewe mimi siyo mtoto ninaongea nilichokiona kwa hao wote wawili na siyo hadithi hadithi kama vile za Mkwawa au Kinjekitile Ngwale,
🤣🤣🤣🤣 Nyie vijana mliozaliwa 2000s mna maneno sana.....🤣🤣🤣🤣
 
Nmekwambia tu jitahidi ufanye kazi upate hela ili uachane na umasikini unaokufanya uwe na msongo wa mawazo kiasi hiki
Sisi bado tunasherehekea kuondokana na dikteta uchwara, njoo ujirushe huku huyo harudi tena.
 
Back
Top Bottom