Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

Umeongea mambo ya msingi sana lakini chuki kubwa kwa watu wengi ni swala la magufuli kugusa watu wenye vyeti vyeki ukisikia kelele nyingi za watu huwa zinabebwa na wahanga wa hili kundi .ukisikia magufuli alikuwa katili ukichunguza ni mhanga wa kutumbuliwa kutoka cheti feki au mriji umekatwa kutoka sehem flani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chuki kubwa kwa watu wengi ni swala la magufuli kugusa watu wenye vyeti vyeki ukisikia kelele nyingi za watu huwa zinabebwa na wahanga wa hili kundi .ukisikia magufuli alikuwa katili ukichunguza ni mhanga wa kutumbuliwa kutoka cheti feki au mriji umekatwa kutoka sehem flani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wengine humu jf kipindi cha uongozi wa kikwete walikuwa hawajazaliwa...utakuta li-mtu linakomaa kwamba kipindi cha mwendazake tuliokota maiti kwenye viroba,kama vile hayo mambo hayakuwepo kabla ktk nchii hii
Umeongea mambo ya msingi sana lakini chuki kubwa kwa watu wengi ni swala la magufuli kugusa watu wenye vyeti vyeki ukisikia kelele nyingi za watu huwa zinabebwa na wahanga wa hili kundi .ukisikia magufuli alikuwa katili ukichunguza ni mhanga wa kutumbuliwa kutoka cheti feki au mriji umekatwa kutoka sehem flani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna watu wamekaa na kutufanya kama hatuna akili, mambo ya watu kutekwa, kuuawa na kuteswa yalianza awamu ya nne kwa hiyo wasijifanye kutuambia heri ya fulani sisi ndio tunajua nani mzuri nani mbaya
Umeongea mambo ya msingi sana lakini chuki kubwa kwa watu wengi ni swala la magufuli kugusa watu wenye vyeti vyeki ukisikia kelele nyingi za watu huwa zinabebwa na wahanga wa hili kundi .ukisikia magufuli alikuwa katili ukichunguza ni mhanga wa kutumbuliwa kutoka cheti feki au mriji umekatwa kutoka sehem flani hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JK hakuwa msafi 100% lakini alikuwa na ubinadamu sn, dikteta yeye ni risasi mwanzo mwisho.
Acha ujinga! Dr mvungi wa katiba mpya aliuawa wakati wa kikwete na mabomu kule arusha wananchi waliuawa! Kwa hiyo huyo Lisu kageuka kuwa Luku ni binadamu sana kuliko wengine?
 
Hivi ung'olewe meno kwa koleo na kucha, kupigwa na kubanwa na bisibisi unasema kilikuwa kibano kidogo? Mtu kupigwa hadi kuzirai wakajua kafa na kumtupa mabwepande wewe unasema aliguswa guswa. Hivi uliona hali yake wakati anapelekwa kutibiwa Afrika kusini.

Mwangosi hivi uliona picha za mwandishi huyu? Alianguka chini akaonesha kasarenda kwa kuinua mikono juu. Lakini askari akiwa amemrenga tumboni na kulipua bomu la machozi tumboni mwa Mwangosi. Picha zilionesha utumbo umesambaa. Hakuwa Mwangosi tena. Mwili ulisambaratika. Mauaji ya kikatiri. Wewe unakuja hapa kuhalalisha kifo kuona hakuna shida na kulinganisha na hayo usemayo. Watu wengine ni rafiki na ndugu. Inauma. Acha ushabiki.

Mabomu ya Arusha watu walipoteza ndugu na rafiki wa karibu, wewe unaona sawa.
Hivyo kama unahalalisha vifo vya Arusha, Igunga, Morogoro, na Mwangosi basi kihistoria
Tanzania hii watu kukutwa wamekufa na kutiwa katika viroba yamekuwa yanatokea na hasa kwa watu waishio ufukweni uona mengi. Nikiwa mdogo niliyaona sana hayo, na nikauliza kwa nini. Nilielezwa.

Nakumbuka Diwani mmoja alipigwa risasi na kuondoa maisha yake enzi za nyuma. Hata Rais wa Zanzibar Karume aliuwawa kwa pigwa risasi. Watu wametekwa na hata kupotea miaka na miaka. Leo tunataka sema mabaya Tanzania yalitokea tu wakati wa awami ya tano.
Huu ni unafiki roho ya wivu na kutojielewa kwa baadhi ya watanzania.
Katibu Mkuu wa CCM kifo chake kilikuwaje? Kolimba. Waziri Mkuu Sokoinne kifo chake kilikuwaje? Unakumbuka Nyerere aliongea nini?
So hakuna kifo halali na kisicho halali? Dhuruma ni dhuruma tu.
 
Dah! Baada ya kung'olewa meno, Dr. Ulimboka alikimbiwa na wenzake wote maskini akabaki mwenyewe huku dola ikifanya yake!

Huku akina JK wanachekelea...

Hii sawa na siku alipouawa Gaddafi akina Obama na H. Clinton walikunywa mvinyo wa hatari kutoka Israel.
 
Na vipi waliotekwa,kupigwa,kufilisiwa,na hata kuuawa?Unawaweka kundi gani.?
Pia Kuna viongozi wa upinzani na wafuasi wao wamepewa kesi za ajabu ajabu.
Usisahau maiti za kwenye viroba zilizokuwa zinaokotwa baharini na mitoni.
Vile bado zinaokotwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…