Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
Sasa kama kaonyeshwa hivyo kosa lake liko wapi: kuonyesha jinsi jambo fulani litakavyotokea au kusema kwamba kaonyeshwa litatokea hivyo? Kama kutabiri ni vibaya, unasema nini kuhusu utabiri wa hali ya hewa?
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Ulitaka atabiri kifo chakoo mkuu huyu ndio habariyamujini hapa naulizia kanisalake.likowapi

Tb Joshua alitabiri vifoo .
Maafa ya maporomoko
Maafa ya maji nchi kadhaa
Hata mmmoja wa viongozi alitabiwa kwendaaaa

Jifunze kuishi na unabii na kuufanyia kazo ukicheka nao unakukulkulaa
 
Sasa kama kaonyeshwa hivyo kosa lake liko wapi: kuonyesha jinsi jambo fulani litakavyotokea au kusema kwamba kaonyeshwa litatokea hivyo? Kama kutabiri ni vibaya, unasema nini kuhusu utabiri wa hali ya hewa?
Anatakiwa atafute namna ya kuzuia hilo tukio lisitokee; hii ya kutabiri tu alafu tukio linatokea inaweza kupelekea kutafakari tofauti.
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Kongo tower liko Narungombe na Congo linauza viatu vya kiume pale underground
 
Back
Top Bottom