Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Hujielewi!
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Kiukwer hii vita kuiepuka ni ngumu sana
 
Yaani kama taifa bado kuna wajinga wengi mtu kajipatia hela zake mbili tatu anakodi ukumbi anaanza kutabiri vitu havina mantik ukiangalia wajinga waliokaa hapo mbele wanamfata huyo mvulana anayoyasema unajiuliza hivi kuna tumaini kweli ipo siku mtu mweusi atatumia hata asilimia moja ya akili yake kweli??!!!!

Ni hatari sana taifa linakosa watu wenye critical and analytical minds to adress huu uhuni unaoendelea kupitia mgongo wa imani za kuletewa.

Taifa linalofata mambo ya kusadikika na kuweka kama kipaumbele ni taifa mfu, taifa lililosimama na kupoteza muelekeo.
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Lakini si limeanguka kweli? sijaona tatizo hapo, tatizo ni serikali ya CCM. hawa wengine ni waganga njaa tu
 
Hilo jengo wala sio kuota ni kweli .......liko hatarini maana jirani yake kuna ujenzi unaendelea .......sasa wamechimba mpaka ule msingi wa congo tower unaonekana.......si unajua kuwa kkoo ni kichanga na sio dongo. .....kweli ni hatari.......wasisubilie mpaka lianguke watu wafe
 
Ukiwa na kipaji cha kuona matukio ya baadaye na ukasema siku zijazo kutatokea ABC. Unakuwa umetenda kosa gani?
Tunaweza kuhisi yeye ndio anayesababisha hilo tukio kutokea. Kwa sababu sayansi haiamini mambo ya kusadikika/imani.
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Serikali kamata huyu mtu na tia makofi ya kufa mtu mpaka aseme yeye mwenyewe nani anampa siri za majengo kuporomoka Kariakoo ama anashirikiana na nani kubomoa hayo majengo?
 
Kwa sisi wanasheria tunasema sio kila jambo ambalo jamii haikubaliani nalo basi ni jinai there comes law and morality, you can't enforce matters of morality.

Ili uweze kusimama mahakamani lazima kwanza ujiukize je hiyo ni kosa la jinai against kifungu gani cha sheria ipi?

Mambo mengine tuwe tunayadharau tu sababu they are just moral turpitudes.
 
Tunaweza kuhisi yeye ndio anayesababisha hilo tukio kutokea. Kwa sababu sayansi haiamini mambo ya kusadikika/imani.
Kwani sayansi ndiyo inaeleza kila kitu? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusaidiana wakati wa shida na raha? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusameheana au kupendana? Sayansi inakwambia nini kuhusu ratiba yako uliyopanga kesho? Sayansi inakwambia nini kuhusu haki za binadamu? Kwa haya machache, utaona kwamba sayansi haina majibu yake. Yet, ni mambo ya ayotokea katika maisha yetu ya kila siku. Sayansi inakwambia nini kuhusu kumpenda mkeo na kuwafanya watoto wako wawe na makuzi bora? Sasa kama sayansi haina majibu yake ina maana hayo mambo hayatokei?
 
Back
Top Bottom