Hujielewi!Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.
Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.
Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
View attachment 3159151
Ukiwa na kipaji cha kuona matukio ya baadaye na ukasema siku zijazo kutatokea ABC. Unakuwa umetenda kosa gani?Anatakiwa atafute namna ya kuzuia hilo tukio lisitokee; hii ya kutabiri tu alafu tukio linatokea inaweza kupelekea kutafakari tofauti.
Wewe NI kondoo ushashikwa nyotaHujielewi!
Huyo Hana kipaji NI tapeli, anatembelea upepo, anazua taharukiUkiwa na kipaji cha kuona matukio ya baadaye na ukasema siku zijazo kutatokea ABC. Unakuwa umetenda kosa gani?
🤣🤣🤣 Kamepiga denge na superblackKa mchungaji kamenyoa panki😀
Kondoo yupi tena mwenye nyota!Wewe NI kondoo ushashikwa nyota
Na ka sura kake kamekomaa hatarii..🤣🤣🤣 Kamepiga denge na superblack
Unajuaje?Huyo Hana kipaji NI tapeli, anatembelea upepo, anazua taharuki
Kiukwer hii vita kuiepuka ni ngumu sanaWatu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.
Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.
Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
View attachment 3159151
Lakini si limeanguka kweli? sijaona tatizo hapo, tatizo ni serikali ya CCM. hawa wengine ni waganga njaa tuWatu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.
Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.
Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
View attachment 3159151
Hilo lingine ama ndio iloiloLakini si limeanguka kweli? sijaona tatizo hapo, tatizo ni serikali ya CCM. hawa wengine ni waganga njaa tu
Tunaweza kuhisi yeye ndio anayesababisha hilo tukio kutokea. Kwa sababu sayansi haiamini mambo ya kusadikika/imani.Ukiwa na kipaji cha kuona matukio ya baadaye na ukasema siku zijazo kutatokea ABC. Unakuwa umetenda kosa gani?
Serikali kamata huyu mtu na tia makofi ya kufa mtu mpaka aseme yeye mwenyewe nani anampa siri za majengo kuporomoka Kariakoo ama anashirikiana na nani kubomoa hayo majengo?Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.
Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.
Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
View attachment 3159151
Kwani sayansi ndiyo inaeleza kila kitu? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusaidiana wakati wa shida na raha? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusameheana au kupendana? Sayansi inakwambia nini kuhusu ratiba yako uliyopanga kesho? Sayansi inakwambia nini kuhusu haki za binadamu? Kwa haya machache, utaona kwamba sayansi haina majibu yake. Yet, ni mambo ya ayotokea katika maisha yetu ya kila siku. Sayansi inakwambia nini kuhusu kumpenda mkeo na kuwafanya watoto wako wawe na makuzi bora? Sasa kama sayansi haina majibu yake ina maana hayo mambo hayatokei?Tunaweza kuhisi yeye ndio anayesababisha hilo tukio kutokea. Kwa sababu sayansi haiamini mambo ya kusadikika/imani.