So unasema amesababisha kwa ushahidi huu wa meneno tu? Hiyo ni sayansi gani ambayo mahakama itakubali?Tunaweza kuhisi yeye ndio anayesababisha hilo tukio kutokea. Kwa sababu sayansi haiamini mambo ya kusadikika/imani.
Ebu tamka kwa sauti na jamii isikie, fulani atakufa siku fulani, alafu afe uone?So unasema amesababisha kwa ushahidi huu wa meneno tu? Hiyo ni sayansi gani ambayo mahakama itakubali?
Vingine vinapimika, ila vya imani huwa havipimiki; kwa hiyo inaweza kuwa ni kichaka cha kufanya uovu.Kwani sayansi ndiyo inaeleza kila kitu? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusaidiana wakati wa shida na raha? Sayansi inakwambia nini kuhusu kusameheana au kupendana? Sayansi inakwambia nini kuhusu ratiba yako uliyopanga kesho? Sayansi inakwambia nini kuhusu haki za binadamu? Kwa haya machache, utaona kwamba sayansi haina majibu yake. Yet, ni mambo ya ayotokea katika maisha yetu ya kila siku. Sayansi inakwambia nini kuhusu kumpenda mkeo na kuwafanya watoto wako wawe na makuzi bora? Sasa kama sayansi haina majibu yake ina maana hayo mambo hayatokei?
Sijuinajadili na mtu mwenye uelewa kiasi gani, wewe unaonekana hata bundi akitua kwenye paa lenu utasema umerogwa una akili isiyotaka kueleimishwa. As i said before pp huwezi kusema hayo maneno pekee yanaweza kusababisha ushtakiwe unless kuna corroborative evidence sio tu bare words utterred on lose air Anyway. nimekuelewesha lakini ni vema uendelee kuelewa unavyoelewa pia ni vizuri itasaidia wanaoelewa wajue wanajadili na mtu wa level gani.p Have a great weekendpEbu tamka kwa sauti na jamii isikie, fulani atakufa siku fulani, alafu afe uone?
Sasa hapo kuna shida gani?Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.
Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.
Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.
View attachment 3159151
Sijuinajadili na mtu mwenye uelewa kiasi gani, wewe unaonekana hata bundi akitua kwenye paa lenu utasema umerogwa una akili isiyotaka kueleimishwa. As i said before pp huwezi kusema hayo maneno pekee yanaweza kusababisha ushtakiwe unless kuna corroborative evidence sio tu bare words utterred on lose air Anyway. nimekuelewesha lakini ni vema uendelee kuelewa unavyoelewa pia ni vizuri itasaidia wanaoelewa wajue wanajadili na mtu wa level gani.p Have a great weekendp
Mie nishamalizana nawe mzee we elewa unachoelewa acha kukaza fuvu. Nachoweza kukuambia ni kwamba we lawyers always say "the Court is not your mother.." Kwamba unaweza kuja na falllacies tu ukasema ashtakiwe mtu kwa just mere words bila corroborative facts. Labda kama unasema Polisi waanzie upelelezi hapo lakini sio kwenda nae mahakamani bila other facts forming part of evidence. Huwezi kujq na maneno tu ya mtaani hayo hata mwendawqzimu anaweza kuyatamka, kama huna supporting evidence it is as good as love poem mzee. Learn or Perish.Elimu ni nini?, elimu ni kuyakana mawazo yako uliyozaliwa nayo na kubeba mawazo ya watu wengine kichwani mwako.
Turudi kwenye mada, huwa napenda kufundisha kwa mifano; ebu mtamkie jirani yako kuwa kesho atakufa, na jamii ikusikie, alafu kifo kitokee; nadhani si ajabu na wao wakakutanguliza kaburini.
Mie naongelea mahakama we unaongelea mambo ya mtaani unaweza kuona tupo angle tofauti so relax we amini na hoja zako za mtaaniElimu ni nini?, elimu ni kuyakana mawazo yako uliyozaliwa nayo na kubeba mawazo ya watu wengine kichwani mwako.
Turudi kwenye mada, huwa napenda kufundisha kwa mifano; ebu mtamkie jirani yako kuwa kesho atakufa, na jamii ikusikie, alafu kifo kitokee; nadhani si ajabu na wao wakakutanguliza kaburini.
Najua kisheria haitakuwa na mashiko, lakini mpaka ifike mahakamani kwenye kutafsiri sheria, utakuwa tayari ulishapotea.Mie nishamalizana nawe mzee we elewa unachoelewa acha kukaza fuvu. Nachoweza kukuambia ni kwamba we lawyers always say "the Court is not your mothe." Huwezi kujq na maneno tu ya mtaani hayo hata mwendawqzimu anaweza kuyatamka, kama huna supporting evidence it is as good as love poem mzee. Learn or Perish.
Kwani uovu unaofanyika duniani ni kwa sababu ya imani tu? Kuna vichaka vingi tu vya uovu. - matumizi mabaya ya madaraka, uchawa, etc.Vingine vinapimika, ila vya imani huwa havipimiki; kwa hiyo inaweza kuwa ni kichaka cha kufanya uovu.
Well that being the case i stand on my legs bro.Najua kisheria haitakuwa na mashiko, lakini mpaka ifike mahakamani kwenye kutafsiri sheria, utakuwa tayari ulishapotea.
Ni sawa na kusema, ukiona mistari ya punda milia barabarani we vuka tu bila kujihami; bila kujua chombo cha moto kinaweza kufeli mfumo na kikakugonga pale pale.Mie naongelea mahakama we unaongelea mambo ya mtaani unaweza kuona tupo angle tofauti so relax we amini na hoja zako za mtaani
Ungesema kwako "elimu ni..." Lakini ulivyoiweka ni kama vile definition ya elimu ndiyo kama ulivyoiweka, wakati ni mlevi tu anayeweza ku'define' elimu namna hiyo.Elimu ni nini?, elimu ni kuyakana mawazo yako uliyozaliwa nayo na kubeba mawazo ya watu wengine kichwani mwako.
Turudi kwenye mada, huwa napenda kufundisha kwa mifano; ebu mtamkie jirani yako kuwa kesho atakufa, na jamii ikusikie, alafu kifo kitokee; nadhani si ajabu na wao wakakutanguliza kaburini.
Nakubaliana na hoja yako, kuhusu imani ni sawa na kosa la kimaamuzi kusukumiwa marehemu ambaye hawezi kujitetea.Kwani uovu unaofanyika duniani ni kwa sababu ya imani tu? Kuna vichaka vingi tu vya uovu. - matumizi mabaya ya madaraka, uchawa, etc.
Ungesema kwako "elimu ni..." Lakini ulivyoiweka ni kama vile definition ya elimu ndiyo hiyo ulivyosema, wakati hiyo ni mlevi tu anayeweza ku'define' elimu hivyo.
🤣🤣🤣
Huwa tunasumbuka ku'define' imani. Actually, imani ni 'trust' uliyonayo kuhusu mtu, jambo fulani au deity. Ukitoka nyumbani asubuhi kwenda ofisini mjini na kisha baada kazi, kwa nini tunarudi nyumbani? Ni kwa sababu unaamini nyumbani kwako kuko kama ulivyokuacha asubuhi na ndiyo maana unarudi bila wasiwasi na wala huwezi kukosea njia, unless kama njia uliyoitumia Ina matengenezo ya dharura na kuna divergence. Kwangu mimi hii ni aina moja ya imani - firm conviction/trust kwamba unarudi nyumbani na utakuta kila kitu kikiwa kama ulivyokiacha.Nakubaliana na hoja yako, kuhusu imani ni sawa na kosa la kimaamuzi kusukumiwa marehemu ambaye hawezi kujitetea.