Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Mwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.
 
Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
sawa mbona wamegawana sawa wangesafiri kwa magari tofauti
 
Kusafiri pamoja hakuna tatizo kabisa.Tatizo ni ubovu wa barabara,uzoefu mdogo wa kuendesha gari masaa mengi na uzembe wa baadhi wa madereva barabarani hasa hawa wa magari makubwa kama Lori na mabasi.Mtu kama hujazoea kuendesha gari masaa mengi Mfano utoke dar Hadi mwanza Bora utafute dereva mwenye akili timamu mwenye uzoefu na kufuata Sheria za usalama barabarani
 
Back
Top Bottom