900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
kifo ni kifo tuWanakufa wasomi na watu muhimu sana,kupitia hizi ajali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kifo ni kifo tuWanakufa wasomi na watu muhimu sana,kupitia hizi ajali.
Ukijichenga ukipanda lako ukifa peke yako utajisikiajeHata misiba ya kusafirisha, wakikodi gari jichenge.
Kuna Mambo mengi ambayo hatuyaoni
Tanzania kuna wasomi au makasuku?Wanakufa wasomi na watu muhimu sana,kupitia hizi ajali.
Jambo la msingi siku ikifika maandiko yatatimia watu wanasafiri ukoo mzima wanafika salama na kurudiWatz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Ni afadhali hata Wanafamilia wengine watangulie kwa usafiri tofauti ili kupunguza uwezekano wa kumaliza familia katika ajali iwapo itatokea.Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Umeshawahi kumuona anavyopanga?Mwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.
Maisha ni kitendawili. Mfano kama familia ikitaka kusafiri na katika fsmilia kukatokea mmoja akatoa wazo kuwa familia nzima isafiri pamoja kwa bus A lakini pengine baba wa familia akakataa wazo hilo na kuweka msisitizo kuwa wanafamilia wengine wapande bus B na ikatokea bahati mbaya bus B likapata ajali na kuua wanafamilia wote waliolipanda si baba wa familia ataumia sana kwa yeye kung'ang'ania wapande bus hilo.Siku yako ya kufa ikisha fika hakuna kitu chochote chenye uwezo wa kuzuia hilo.
Mmeamua kuwapangia watu maisha sasaMarehemu hasemwi ila nimejisikia vibaya sana. Watoto wamefunga shule tokea mwezi wa 12 mwanzoni, kwann wasitangulie na mama yao?
Kabisa,mi mmoja wapo nakwepaga kabisaHata misiba ya kusafirisha, wakikodi gari jichenge.
Kuna Mambo mengi ambayo hatuyaoni
Kama mbowe msomi mbobevu!!Tanzania kuna wasomi au makasuku?
Amen, kwa msaada wa Bwana mkimtanguliza na kumkabidhi hiyo safari mtafika pasi na shaka. Tumuamini Mungu mengine tumuachie afanye "Mstari wa msingi: Zaburi 127:1-2 “Bwana asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. Bwana asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.Naona mnatupa sababu za kutosafiri na familia kipindi hiki cha sikukuu 🙌
By the way nipo safarini na familia kwaajili ya sikukuu, ila naendesha mdogo mdogo
Ni maombi yangu, tufike salama na kurudi salama pia 🙏🙏
Natambua Kila mtu atakufa, lakini isiwe kutuondoa familia nzima Kwa pamoja
Sasa mbowe, kabudi,wewe,mama yako,mwigulu,samia,kikwete,tibaijuka,lipumba nk muna tofauti ipi ya kufikiri?Kama mbowe msomi mbobevu!!
Mungu wa kweli hamuwazii Wala kumpangia mabaya binadamuMwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.