Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa uzoefu atapataje kama hapati experience..Unakuta wengi ni first timers, mtu hana uzoefu na barabara ila anang'ang'ania kuendesha long trip.
Huwezi kuzuia watu kusafiri kama familia, its so enjoyable.
Asafiri na mtu mzoefu wa safari ndefu, aendeshe say dar hadi mkata then mwingine ashike hadi mombo, toka mombo hadi same...then mwingine amalizoe safari. Kwa mtu wa kujifunza safari moja inatosha kabisa.Sasa uzoefu atapataje kama hapati experience..
Walau madereva wawili....wife anaendesha hadi Chalinze akichoka unachukua hadi kipande fulani.Kusafiri pamoja hakuna tatizo kabisa.Tatizo ni ubovu wa barabara,uzoefu mdogo wa kuendesha gari masaa mengi na uzembe wa baadhi wa madereva barabarani hasa hawa wa magari makubwa kama Lori na mabasi.Mtu kama hujazoea kuendesha gari masaa mengi Mfano utoke dar Hadi mwanza Bora utafute dereva mwenye akili timamu mwenye uzoefu na kufuata Sheria za usalama barabarani
Sahihi kabisa.tatizo kubwa ni uzoefu wa safari ndefu.Walau madereva wawili....wife anaendesha hadi Chalinze akichoka unachukua hadi kipande fulani.
Tatizo lingine mkuu ni hawa jamaa hawajawahi kuendeshs safari ndefu safari zao ni za ndani ya Dar na muda mwingi wanaendeshwa.
Kutosafiri kwenye gari moja, nayo inautata. Yaani tunapoenda kijijini, ndio tupande magari tofauti. Ila tukiwa hapa mjini, mfano tunaenda ibadani, kwenye mkutano, tunaweza kupanda gari moja?Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Huo ujinga umeupima Kwa kipimo gani...? Mpaka umeishia kufanya hiyo hitimisho..Watz ni watu wajinga Sana .
Upo sahihi lakini uzoefu unapatikana kwa kujaribu tena mara kwa Mara kwa mtazamo wangu ukishajua basic za kuendesha gari na kufuata sheria za usalama barabarani basi possibility ya kufika salama ni kubwa.Asafiri na mtu mzoefu wa safari ndefu, aendeshe say dar hadi mkata then mwingine ashike hadi mombo, toka mombo hadi same...then mwingine amalizoe safari. Kwa mtu wa kujifunza safari moja inatosha kabisa.
Bora Mimi sijasoma hili tusi lingeniuma.kweli [emoji2][emoji2][emoji2]Tanzania kuna wasomi au makasuku?
Kama hujawahi kumwona unathibitishaje kuwa huwa anapanga. Hizi stori za alipangalo Mungu huwezi kukwepa ni jitihada za binadamu kukwepa kuwajibika kwa makosa yake. Ajali zinazotokea nyingi zinasababishwa na uzembe wa watumiaji wa barabara na vyombo vya moto...Kwa mujibu wa imanu yangu hakuna aliyewahi kumuona Mungu,wewe pia unaweza kuamini unachoamini.
Siyo mipango yoteMipango yote anapanga Maulana. Akiamua utangulie kwenye haki hata ajali ndogo kwa macho utaitika wito tu, akiamua usiitike siku hiyo unatoka mzima kwenye ajali inayogeuza gari jipya kuwa chuma chakavu....
RIP Nko Bwana ahimidiwe.
Mkuu kuna vibe kubwa Sana kutembea na familia ingawa kuna risks kubwa....nami pia nimesafiri na familia tuombeane Tu turudi salamaMarehemu hasemwi ila nimejisikia vibaya sana. Watoto wamefunga shule tokea mwezi wa 12 mwanzoni, kwann wasitangulie na mama yao?
Huu ni uposhaji. Laiti ungejua idadi ya familia zinazosafiri kwa pamoja usingeandika haya. Kwa taarifa yako karibu kila gari la binafsi linalosafiri kwenda holidays kama hii limebeba watu wa familia moja. Hii ni bahati mbaya tu au sahihi niseme ni uzembe uliofanywa dereva/madereva.Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Hakuna Mungu anayepanga ajali.Mwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.
kaka haya mambo hayaendi hivyo, Unaweza kukataa kupanda gari na familia yako, ukawaambia wapande gari nyingine, huko ndio wakaenda kufa. Unakuwa umewapeleka kwenye kifo.Msiba ungekua mdogo.
Mingine inapangwa na watu wenyewe kwa uzembe, lakini asilimia kubwa ni muumba.Siyo mipango yote
Mkuu sidhani kama amefanya vibaya. Ni vizuri kusafiri na familia yako hasa kipindi hiki. Nmemwambia mwanzisha thread kuwa idadi ya family zinazosafiri kwenye gari moja kipindi kama hiki ni nyingi mno. Karibu kila gari linakuwa limebeba familia au ndugu wa karibu. Tunasafiri kwenda kwenye misiba tukiwa watu wengi zaidi kwenye gari moja, pengine familia hata 5. Kwa kifupi tukio la familia moja kufariki wote kwenye ajali ni adimu kulinganisha na idadi ya wanaosafiri. Muhimu ni kila dereva kuwa makini na kuzingatia sheria hasa kuchunga mwendokasi. Tukiwa na mawazo kama haya tunaweza tunajikuta tunasema familia moja isilale nyumba moja kwa sababu moto ukitokea wanaweza kuteketea wote.Marehemu hasemwi ila nimejisikia vibaya sana. Watoto wamefunga shule tokea mwezi wa 12 mwanzoni, kwann wasitangulie na mama yao?