Kuna maisha yale ya kumwambia driver,kesho tunaenda Moshi uje saa kumi na nusu tuwahi kufika,Nina kikao Leo usiku na mkuu,lakini naamini utawahi kuja baada ya kunipeleka nyumbani,nitakuwa na waife na watoto, by the way pesa na posho yako Iko muse mhasibu kaionbea,lakini,mpeleke Regina Airport saa saba usiku anaendaWatz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Dubai na
ndege ya Flay Emirates.Kwa hesabu ya haraka Dereva hajalala na cash hana,pit