Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Uzuri ukishakufa tu hujijui kama uliwahi kuishi hapa Duniani.
 
Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Ndugu yangu acha hayo, kwahiyo na hizo safari walizowahi kusafiri na wakafika salama unawaambiaje.

Alafu Raha yakusafiri usafiri na familia bhana hayo mengine ni matokeo tu alafu hayakimbiki.

Ukitaka uishi vizuri kwahii dunia acha kukifukiria vibaya kifo,

Ikitokea imetokea tu, acha kuweka hizi Kinga zisizo na maana
 
Mkuu kuna vibe kubwa Sana kutembea na familia ingawa kuna risks kubwa....nami pia nimesafiri na familia tuombeane Tu turudi salama
Kusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.
 
Ndugu yangu acha hayo, kwahiyo na hizo safari walizowahi kusafiri na wakafika salama unawaambiaje.

Alafu Raha yakusafiri usafiri na familia bhana hayo mengine ni matokeo tu alafu hayakimbiki.

Ukitaka uishi vizuri kwahii dunia acha kukifukiria vibaya kifo,

Ikitokea imetokea tu, acha kuweka hizi Kinga zisizo na maana
Nimewaambia duniani kote vipindi vya holidays, safari nyingi zinafanyika kifamilia. Ni nyingi mno na ajali kama hiyo inatokea mara chache kulinganisha na wingi wa safari.
 
Kwa hili mtoa madA ana Akili fupi kuliko kiberiti Yaani unataka kumpangia mwenye mali yake kuamua nini afanye juu ya Mali zake.
 
Kusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.
Upo Sahihi kabisaa mkuu ni ngumu Sana kutengana na watoto safarini
 
Kusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.
Majitu mengi tu huwa yanaendesha na vilevi kichwani , sisi wamatumbi kwenye hivi vyombo vya moto tunajitoaga akili sna.
 
Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Hili somo nimelipata vizuri tangu ile ajali iliyoondoka na watu takribani 7 wa Familia moja miaka ya nyuma.

Familia rundikaneni kwenye usafiri wa umma ila usafiri binafsi, hapana
 
Bora utafute dereva mwenye akili timamu mwenye uzoefu na kufuata Sheria za usalama barabarani
Unakuta mwendesha anaendesha chombo huku anapiga stori za jana kijiweni na konda wake. Wakati huo anageuza shingo nyuma. 😀
 
Mwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.
Kwahiyo Mungu kawaua?
 
Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.

Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.

Mfano Mimi Nina watoto 4, na mke, tukigawana magari wawili kwa wawili, labda Mimi nikafariki na Mke, ( Probably tutakuwa kwenye gari Moja ) hao wanaobaki si ni majonzi tu na mateso,

Unapiga sala vizuri sana, unamwamini Mungu then wote mnasafari, Kuna famili walikuwa wanatembea jioni wakagongwa wote, wengine gas iliwafumukia ndani wakafa wote!

Sala + mwamini Mungu
 
Back
Top Bottom