Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
You have a point, ila kuna kuungua kwa nyumba, kupigwa radi, kwenda out as a family , kupikiwa na dada wa kazi, kuna syory ya Taji Liundi, hivyo pia vinaweza kupelekea mkuu.
Kikubwa ni wote kuwa makin, tufuate sheria, tulindane
 
Tatizo wa TZ tunaona ni ushamba kusafiri na public transport. Mtu unakqenda Arusha au Moshi moja ya maeneo ambayo yana one of the best public transport kuqnzia mabasi, ndege, train etc unaamua kuendesha kwa leseni yako "D" au "E". Ili tuu ukashow off.

Mabasi ya Arusha na Moshi yana madaraja mazuri sana. 2x2 or 2x1 na sasa hivi unaweza safiri hata usiku.

kWa wale wenye fedha nzuri, nunua gari acha kijijini, ukienda likizo una gari la kupigia misele, sio lazima utoke na gari dar hadi bukoba (ushamba).
 
Watz ni watu wajinga Sana .

Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.

Baba
Mama
Watoto

Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.


Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Hata wewe utakikwepa hicho kifo weee! Ila siku ikifika, hutakuwa na pa kukimbilia. Utakufa tu. Kama siyo kwa ajali, utakufa kwa magonjwa, utauwawa, nk.
 
Maisha ni kitendawili. Mfano kama familia ikitaka kusafiri na katika fsmilia kukatokea mmoja akatoa wazo kuwa familia nzima isafiri pamoja kwa bus A lakini pengine baba wa familia akakataa wazo hilo na kuweka msisitizo kuwa wanafamilia wengine wapande bus B na ikatokea bahati mbaya bus B likapata ajali na kuua wanafamilia wote waliolipanda si baba wa familia ataumia sana kwa yeye kung'ang'ania wapande bus hilo.
Mkuu kila mtu amepangiwa siku saa na dakika ya kufa kwake huo wakati ukifika haijalishi utakuwa wapi na unafanya nini hutoweza kukikimbia kifo utaondoka tu.

Hiyo familia leo haikuwa siku ya kwanza kusafiri pamoja kama familia.
 
Amen, kwa msaada wa Bwana mkimtanguliza na kumkabidhi hiyo safari mtafika pasi na shaka. Tumuamini Mungu mengine tumuachie afanye "Mstari wa msingi: Zaburi 127:1-2 “Bwana asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. Bwana asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure.
Shukrani Kwa Dua yako njema

Mungu atujaalie uzima na afya njema, tuvuke salama Mwaka huu 2024 na kuingia wote Mwaka ujao 2025
 
Highway ina mambo mengi,hao watu wanao pata ajari sio kua hawa jui sheria za barabarani.
Unaweza sababishiwa na magari mengine.
mfano.ajali nyingi zimetokana na magari makubwa kuzigonga gari zingine,cha msingi unaposafiri ni kumuomba tu mungu usafir salama na kukuepusha ajari
 
Tatizo wa TZ tunaona ni ushamba kusafiri na public transport. Mtu unakqenda Arusha au Moshi moja ya maeneo ambayo yana one of the best public transport kuqnzia mabasi, ndege, train etc unaamua kuendesha kwa leseni yako "D" au "E". Ili tuu ukashow off.

Mabasi ya Arusha na Moshi yana madaraja mazuri sana. 2x2 or 2x1 na sasa hivi unaweza safiri hata usiku.

kWa wale wenye fedha nzuri, nunua gari acha kijijini, ukienda likizo una gari la kupigia misele, sio lazima utoke na gari dar hadi bukoba (ushamba).
Kuna mzee mmoja anatumia hiyo mbinu. Ana gari nyingi. Zote land cruiser hardtop. Moja inatangulia na wafanyakazi kuandaa nyumba ya kijijini wiki moja kabla. Nyingine inabaki mjini, siku ya safari Cruiser moja inamtoa mjini mpaka airport halafu ile cruiser ya kijijini inakaa airport inawasubiria wanafamilia. Wanapanda ndege kwa makundi makundi. Na kurudi ni hivyo hivyo. Hawapandi gari kwa safari ndefu wala hawapandi ndege kwa pamoja.



Tajiri yuko vizuri mno.
 
Juzi kati natoka tunduma nikagundua kufa ni dk moja tu nilifunika bams moja ya moto na ilikua haionekani maeneo ya mpemba tulirushwa rushwa, that was so bizzare 😬😬
Thanks lord tulirudi salama jijini mbeya

Wakati wa kwenda pia maeneo ya mbozi jirani na ilipo ladar (outpost) kuna ki mlima kikali sana gari kubwa zinacheua katika kufosi overtake kume kuna mmoja nae na land cruiser yupo kibati anakuja ilibaki kidogo iwe uso kwa uso🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom