Sasa huu utaratibu ni kwa wenye magari yao madogo tu au hata huku kwetu tunaotumia usafiri wa daladala na mabasi...Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Utakuwa ni mjinga zaidi kama unataka kila mtu aamini na kufikiria unavyoona wewe,kila mtu yupo huru kuamini anachoona kipo sahihi kwake.Hakuna Mungu anayepanga ajali.
Hebu acheni hizi mentality za kijinga.
Hii Tanzania watu wanakufa sanasana kutokana na ujinga, uzembe na umaskini.
Siku yao ya kufa imewadia na malaika mtoa roho katimiza jukumu lake,wewe pia una haki ya kufikiria tofauti kwa jinsi unavyoona.Kwahiyo Mungu kawaua?
Kila mtu ni wa muhimuWanakufa wasomi na watu muhimu sana,kupitia hizi ajali.
Atapataje uzoefu sasa asipoendesha mkuuUnakuta wengi ni first timers, mtu hana uzoefu na barabara ila anang'ang'ania kuendesha long trip.
Huwezi kuzuia watu kusafiri kama familia, its so enjoyable.
Kuendesha gari ni adventure pia. So usiite starehe ya mwenzio ushamba. Wewe hujaoa ila unapiga miti hadi watoto wa shule. Tukuite mshamba sababu hujaoa?Tatizo wa TZ tunaona ni ushamba kusafiri na public transport. Mtu unakqenda Arusha au Moshi moja ya maeneo ambayo yana one of the best public transport kuqnzia mabasi, ndege, train etc unaamua kuendesha kwa leseni yako "D" au "E". Ili tuu ukashow off.
Mabasi ya Arusha na Moshi yana madaraja mazuri sana. 2x2 or 2x1 na sasa hivi unaweza safiri hata usiku.
kWa wale wenye fedha nzuri, nunua gari acha kijijini, ukienda likizo una gari la kupigia misele, sio lazima utoke na gari dar hadi bukoba (ushamba).
Asafiri na mzoefu, mbona rahisi sana mkuu. Mkiwa njiani unampa kutoka Korogwe hadi Same, utaona tu mwenyewe atakuambia njoo uendeshe. Long trips zinataka uzoefu, wengi tumezoea mjini ila mara ya kwanza kupiga 600km ni mtihani sana.Atapataje uzoefu sasa asipoendesha mkuu
Nimekupata mkuuAsafiri na mzoefu, mbona rahisi sana mkuu. Mkiwa njiani unampa kutoka Korogwe hadi Same, utaona tu mwenyewe atakuambia njoo uendeshe. Long trips zinataka uzoefu, wengi tumezoea mjini ila mara ya kwanza kupiga 600km ni mtihani sana.
You idiot, Kuna sehemu nimetaka mtu aamini jinsi ninavyo amini?Utakuwa ni mjinga zaidi kama unataka kila mtu aamini na kufikiria unavyoona wewe,kila mtu yupo huru kuamini anachoona kipo sahihi kwake.
Idiot mama yako,kuwa mstaarabu sikukuomba ujibu Comment yangu.You idiot, Kuna sehemu nimetaka mtu aamini jinsi ninavyo amini?
Hata mimi sikukuomba uni quote.Idiot mama yako,kuwa mstaarabu sikukuomba ujibu Comment yangu.
Tulia Mzee unaweza kupigwa mpaka uka bantalala kabisa.WanaCCM mnaotokea Burundi mnatuharibia sana lugha yetu ya KISWAHILI
Hapo chacha, tushashuhudia sn ajali za moto zinaua familia nzima.Kuna siku mtasema tusilale nyumba moja.
Nawasubiri hapa