kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Refa alikuwa ni muungwana lakini ni dhaifu alitakiwq kuwapa kadi nyekundu wale wahuni walioingia kwa maagizo ya kumprovoke refa nq kuacha kucheza mpira amewanyima simba clear penalty baada ya kumuangusha kibu......
Waamuzi waongeze umakini kwa wahuni na wapewe onyo watu wanatoa pesa kulipia ving'amuzi kuangalia burudani sio mieleka.....zaido tumeona mchezo mzuri na wa kiungwana kwa upande wa simba simba point 40 kileleni.....kesho tushuhudie penati na magoli ya mchongo ya mikono kutoka kwa yanga kumbe waamuzi pia wanabet......!
Waamuzi waongeze umakini kwa wahuni na wapewe onyo watu wanatoa pesa kulipia ving'amuzi kuangalia burudani sio mieleka.....zaido tumeona mchezo mzuri na wa kiungwana kwa upande wa simba simba point 40 kileleni.....kesho tushuhudie penati na magoli ya mchongo ya mikono kutoka kwa yanga kumbe waamuzi pia wanabet......!