Tumeshuhudia wahuni waliotumwa kuja kufanya vurugu na timu ya iliyokuja kucheza mpira!

Tumeshuhudia wahuni waliotumwa kuja kufanya vurugu na timu ya iliyokuja kucheza mpira!

Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kasi

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Mpira umeangalia wako chumbani peke yaka ukaunganisha na matokeo ya liti!
 
Marefa mchezo umewashinda kabisa Kuna Ile Kona alitoa Hamza akapuliza kuwa goalkick sasa sikujua alikuwa amevuta bangi ama alivaa miwani ya mbao, faulu alikuwa anaziona za singida tu za Simba alikuwa anaenda likizo kwa muda!
Ndio maana nimetoa angalizo marefa wawe makini lakini mwisho wa siku wanaachia magoli ya mkono na penati za mtu hakuguswa!
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kasi

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kadi.

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Nonsense..Umaeandika Ukiwa na maumivu Sana. Maumivu yakiisha akili itakurejea na utajikinai
 
Matusi hayatakusaidia kitu Wala hayawezi kuipa Simba Ubingwa.

Tumieni Dirisha Dogo kuimarisha timu yenu, Muda si mrefu mtaanza vitisho vya kuhamia Burundi.
Ona hii bumunda..ushindwenkuimalisha wewe hoe hae aimalishe anaeongoza ligi? Ushindwenkuimalisha wewe mwenye kijipoint kimoja Ukiwa unaburuza mkia!!! Hivi hizi akili mnatumiaga kufanyia nini?
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kadi.

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.

Acha uongo wewe, lile goli tukio limerudiwa zaidi ya mara tatu na hakuna sehemu kipa wa Singida aliposukumwa.
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kadi.

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Acha uongo beki wa simba hakumsukuma kipa ila kipa alimparamia beki wa simba akiwa amesimama
 
Inaonesha maisha halisi unayoishi
Bullshit. Nawatukana sababu mnaongea mambo ya kipumbavu. Kila mtu mpira ameona na marudio, mpira ni mchezo wa wazi. Acheni ushabik maandazi wapumbavu wakubwa nyie, nmeamin sasa mashabik kama nyie na mafukara kabisa hamjui mpira , man kuna tofaut kubwa kati ya shabiki na mpenzi wa mpira, fools
 
1. Marefa wote game iliwashinda. Game ilikua nzito kuliko uwezo wao wa kimaamuzi

2. Singida nadhani walikua fit physicaly na hawakua full fit mentally

3. Simba kama mgeni kwenye mchezo ametumia advantage ya SBS kutokua fit mentaly wao ndio wakawa mara mbili yao na wakanufaika.

4. Nilitegemea burudani ya soka kwa bahati mbaya timu zote zipo kimkakati na hata kiuwezo kushabihiana hivyo kukosa ile quality kama tunayoipata kwa Yanga ya soka safi.

Hongera kwa Simba unaenda mwaka mpya ukiwa kileleni ya papatu. See you next time
Hii game ingechezwa kwenye kiwanja km Ben Mkapa ndio game ingekua nzuri zaidi, nafikiri timu zetu zinakosa basic za akili zaidi na wanawaza kwenye physique,Sijajua ni wanakotokea wkt wana anza mpira or nimalezi wanavyokua kimpira ndio maana wageni wanawazidi vitu vingi kwenye maarifa kuliko wazawa,Ajibu,Boban,Ndemla nimifano ya vijana waliotakiwa kua hazina za nchi,Kwa sasa niwachache waliobakia unaona wapo vzr physique and mental state
 
Refa alikuwa ni muungwana lakini ni dhaifu alitakiwq kuwapa kadi nyekundu wale wahuni walioingia kwa maagizo ya kumprovoke refa nq kuacha kucheza mpira amewanyima simba clear penalty baada ya kumuangusha kibu......
Waamuzi waongeze umakini kwa wahuni na wapewe onyo watu wanatoa pesa kulipia ving'amuzi kuangalia burudani sio mieleka.....zaido tumeona mchezo mzuri na wa kiungwana kwa upande wa simba simba point 40 kileleni.....kesho tushuhudie penati na magoli ya mchongo ya mikono kutoka kwa yanga kumbe waamuzi pia wanabet......!
Bado hujasema dada
Unateseka sana
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kadi.

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Aiseee,wabongo mbinguni hamtaenda,eti akamsukuma

Aiseee acheni ushabiki maandaz
 
Refa alikuwa ni muungwana lakini ni dhaifu alitakiwq kuwapa kadi nyekundu wale wahuni walioingia kwa maagizo ya kumprovoke refa nq kuacha kucheza mpira amewanyima simba clear penalty baada ya kumuangusha kibu......
Waamuzi waongeze umakini kwa wahuni na wapewe onyo watu wanatoa pesa kulipia ving'amuzi kuangalia burudani sio mieleka.....zaido tumeona mchezo mzuri na wa kiungwana kwa upande wa simba simba point 40 kileleni.....kesho tushuhudie penati na magoli ya mchongo ya mikono kutoka kwa yanga kumbe waamuzi pia wanabet......!
Ref was very weak
 
Refa alikua akiipendelea Simba muda mwingi wa mchezo.
Wachezaji wa Singida wakilalamika ana watishia na kadi.

Goli la Simba kabla alijafungwa Beki wa Simba Hamza ana msukuma kipa wa Singida akiwa hewani na kipa Metacha anakosa balance na kushindwa ku ufikia mpira ambao unapigwa kichwa kuwa Goli.

Refa wa kati anapambana wasidizi wake wanapambana kuhakikisha Simba inashinda.

Wachezaji wa Singida walikua wakitolewa mchezoni makusudi na refa ili kuitengenezea Simba Mazingira ya ushindi.

Marefa wamekua wakifanya vitendo vya aibu na kuwavunjia heshima kwenye kazi Yao.
Yaan nlikuwa najua Ni mtu wa mpira kumbe hamn kitu,unatanguliza uyanga Sana kipa wa singida hakuguswa hata kidogo,rudia kutazama ile video,afu nenda katazame mechi ya dodoma jiji vs yanga uone makosa ya kibinaadam yalivyokuwa mengi,magoli mawili siyo halali penalty ya mchongo na lingine clear offside weka mahaba pembeni
 
Back
Top Bottom