Tumeshuhudia wahuni waliotumwa kuja kufanya vurugu na timu ya iliyokuja kucheza mpira!

Mpira umeangalia wako chumbani peke yaka ukaunganisha na matokeo ya liti!
 
Marefa mchezo umewashinda kabisa Kuna Ile Kona alitoa Hamza akapuliza kuwa goalkick sasa sikujua alikuwa amevuta bangi ama alivaa miwani ya mbao, faulu alikuwa anaziona za singida tu za Simba alikuwa anaenda likizo kwa muda!
Ndio maana nimetoa angalizo marefa wawe makini lakini mwisho wa siku wanaachia magoli ya mkono na penati za mtu hakuguswa!
 
Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Nonsense..Umaeandika Ukiwa na maumivu Sana. Maumivu yakiisha akili itakurejea na utajikinai
 
Matusi hayatakusaidia kitu Wala hayawezi kuipa Simba Ubingwa.

Tumieni Dirisha Dogo kuimarisha timu yenu, Muda si mrefu mtaanza vitisho vya kuhamia Burundi.
Ona hii bumunda..ushindwenkuimalisha wewe hoe hae aimalishe anaeongoza ligi? Ushindwenkuimalisha wewe mwenye kijipoint kimoja Ukiwa unaburuza mkia!!! Hivi hizi akili mnatumiaga kufanyia nini?
 

Acha uongo wewe, lile goli tukio limerudiwa zaidi ya mara tatu na hakuna sehemu kipa wa Singida aliposukumwa.
 
Acha uongo beki wa simba hakumsukuma kipa ila kipa alimparamia beki wa simba akiwa amesimama
 
Inaonesha maisha halisi unayoishi
Bullshit. Nawatukana sababu mnaongea mambo ya kipumbavu. Kila mtu mpira ameona na marudio, mpira ni mchezo wa wazi. Acheni ushabik maandazi wapumbavu wakubwa nyie, nmeamin sasa mashabik kama nyie na mafukara kabisa hamjui mpira , man kuna tofaut kubwa kati ya shabiki na mpenzi wa mpira, fools
 
Hii game ingechezwa kwenye kiwanja km Ben Mkapa ndio game ingekua nzuri zaidi, nafikiri timu zetu zinakosa basic za akili zaidi na wanawaza kwenye physique,Sijajua ni wanakotokea wkt wana anza mpira or nimalezi wanavyokua kimpira ndio maana wageni wanawazidi vitu vingi kwenye maarifa kuliko wazawa,Ajibu,Boban,Ndemla nimifano ya vijana waliotakiwa kua hazina za nchi,Kwa sasa niwachache waliobakia unaona wapo vzr physique and mental state
 
Bado hujasema dada
Unateseka sana
 
Aiseee,wabongo mbinguni hamtaenda,eti akamsukuma

Aiseee acheni ushabiki maandaz
 
Ref was very weak
 
Yaan nlikuwa najua Ni mtu wa mpira kumbe hamn kitu,unatanguliza uyanga Sana kipa wa singida hakuguswa hata kidogo,rudia kutazama ile video,afu nenda katazame mechi ya dodoma jiji vs yanga uone makosa ya kibinaadam yalivyokuwa mengi,magoli mawili siyo halali penalty ya mchongo na lingine clear offside weka mahaba pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…