Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hitler/Musolin and the like hawatasahaulika mpaka dunia inarudi ilikotoka.Picha mnayomchora aonekane mtu mmbaya hata haichoreki! Msipaze mishipa kupambana na aliekwenda mnapoteza muda na nguvu
Haha! Kuguswa kidogo tu mnasema Hitler! Kampeni zenu za mitandao za kumchafua huyo kiumbe zishafeli!.. njooni na mbinu nyengine za kupambana na waliohai halafu angalieni mnakwama wapi.Hitler/Musolin and the like hawatasahaulika mpaka dunia inarudi ilikotoka.
Wameishiwa Hoja Zitto Kabwe kawabana kweli kweliHaha! Kuguswa kidogo tu mnasema Hitler! Kampeni zenu za mitandao za kumchafua huyo kiumbe zishafeli!.. njooni na mbinu nyengine za kupambana na waliohai halafu angalieni mnakwama wapi.
Tumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
Unamzungumzia.Ndesa?Hao kina Mussolini walikuwa wauaji lakini hawamtaji taji MUNGU. Wengine walikuwa wauaji huku wakijigamba kumtanguliza MUNGU mberee! MUNGU naye akaona isiwe tabu enough is enough!
Na TOZOChadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Tozo ndio asali anayolamba mwenyekiti wa ChademaNa TOZO
Huwezi kumsahau katili aliyeua rafiki,Chadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Jiwe alikuwa muuaji. Ndiyo maana hata aliyeko madarakani ameyabatilisha mengi yasiyo ya ubinadamu ya jiweHaha! Kuguswa kidogo tu mnasema Hitler! Kampeni zenu za mitandao za kumchafua huyo kiumbe zishafeli!.. njooni na mbinu nyengine za kupambana na waliohai halafu angalieni mnakwama wapi.
SAWAUnamzungumzia.Ndesa?
na Jiwe katiliUmenikumbusha Chacha Wangwe
RIP
Tozo ndio asali anayolamba mwenyekiti wa Chadema
Mbona wewee hujauliwa unaendelea kuuza mbege na wanzuki hapo Rau madukani!Huwezi kumsahau katili aliyeua rafiki,
Jiwe alikuwa muuaji. Ndiyo maana hata aliyeko madarakani ameyabatilisha mengi yasiyo ya ubinadamu ya jiwe
mtoto wako, shangazi, mjomba ., mume, mke etc etc. Uko sahihi kabisa.
Nawaona Walamba Asali wa CHADEMA kwa mujibu wa JohTozo ndio asali anayolamba mwenyekiti wa Chadema