Tumetoka pagumu kweye uvuli wa mauti, asante Mungu!

Tumetoka pagumu kweye uvuli wa mauti, asante Mungu!

Una wazungumziaje panya road na hiki wanacho fanya kwa sasa , ajari za kila mara na maiti zinazookotwa kwa sasa maoni yako ni yapi ?
Ni uhalifu wa kawaida. Uzembe wa serikali kukomesha vitu kama hivyo.
Najua unataka kusema wakati wa magufuli hayakuwepo. It might be true, lakini kazi ya Panya Road na ajali ilifanywa na TISS, polisi , kuwafunga bila hatia watu, kuwabambia kesi etc etc. Heri uhalifu huu kuliko mtawala muuaji
Hii ya panya serikali ikiamua inaweza kukomesha maana ni watoto wetu wanatoka kwenye nyumbna zetu usiku na tunajua kuwa mtoto wangu hayupo ndani, hayupo night shift ya kazi ya usiku and the like..therefore most likely ni kibaka wa Panya road or whatewver.
 
Bado kuna nafuu
Hii kauli yako unaweza kuitamka mbele ya Mama na Baba wa Maria Basso ?
FB_IMG_1663234321378.jpg
 
Ni uhalifu wa kawaida. Uzembe wa serikali kukomesha vitu kama hivyo.
Najua unataka kusema wakati wa magufuli hayakuwepo. It might be true, lakini kazi ya Panya Road na ajali ilifanywa na TISS, polisi , kuwafunga bila hatia watu, kuwabambia kesi etc etc. Heri uhalifu huu kuliko mtawala muuaji
Hii ya panya serikali ikiamua inaweza kukomesha maana ni watoto wetu wanatoka kwenye nyumbna zetu usiku na tunajua kuwa mtoto wangu hayupo ndani, hayupo night shift ya kazi ya usiku and the like..therefore most likely ni kibaka wa Panya road or whatewver.
Kwa nini umekuwa mstari wa mbele kuitetea serikali ya Sasa juu ya hayo niliyo orodhesha lakini serikali iliyopita nayo imefanya ya mfanano na haya ya sasa upo mstari wa mbele kuilaani ?

Huu ni uharifu wa kawaida ?
FB_IMG_1663234321378.jpg
 
Kwa nini umekuwa mstari wa mbele kuitetea serikali ya Sasa juu ya hayo niliyo orodhesha lakini serikali iliyopita nayo imefanya ya mfanano na haya ya sasa upo mstari wa mbele kuilaani ?

Huu ni uharifu wa kawaida ?View attachment 2357768
siitetei, nailaumu sana , tena siipendi kabisa, nayo inakiuka haki za binadamu. Ila sitaki mauaji ya kisiasa! Sitaki risasi za kisiasa kama za Lisu. magufuli was not a human being!
 
Kwa hiyo nyumbani kwa kina Maria walipo vamiwa ni waongo ?

Wewe unaweza kuthibitisha matukio yaliyo tokea serikali ya awamu ya tano yalifadhiliwa na magufuli ?
Yaliyo mengi na kauli zake
 
siitetei, nailaumu sana , tena siipendi kabisa, nayo inakiuka haki za binadamu. Ila sitaki mauaji ya kisiasa! Sitaki risasi za kisiasa kama za Lisu. magufuli was not a human being!
Ila mauaji ya vijana, wafanya biashara wa madini, mapadre kwako hayana uzito Sana ?

Pili umejuaje kuwa hayo matukio alifanya magufuli ?
 
Ila mauaji ya vijana, wafanya biashara wa madini, mapadre kwako hayana uzito Sana ?

Pili umejuaje kuwa hayo matukio alifanya magufuli ?
Nyie watu ni wajinga na wapumbavu wakubwa, kila siku mnabishana vitu vilevile na watu walewale. Kwa nn usibaki na msimamo wako na wao wabaki na msimamo wao?? Hata uweke comments 1000 hakuna namna utabadilisha wanachoamini. Acheni ujinga
 
Nyie watu ni wajinga na wapumbavu wakubwa, kila siku mnabishana vitu vilevile na watu walewale. Kwa nn usibaki na msimamo wako na wao wabaki na msimamo wao?? Hata uweke comments 1000 hakuna namna utabadilisha wanachoamini. Acheni ujinga
Huyo jamaa mwenzako namshangaa
 
Nafurahi sana kuona misukule ya Magufuli inavyoumia na kuomboleza
Walikuwa na dharau sana hawa wapumbavu wakijidai nchi ni mali ya yule mwendawazimu mwedakuzimu
 
Ila mauaji ya vijana, wafanya biashara wa madini, mapadre kwako hayana uzito Sana ?

Pili umejuaje kuwa hayo matukio alifanya magufuli ?
Yana maana sana. Kauli za magufuli na matendo yake . Kwenye sheria wanasema hivi: in order to justify the inference of guilt, the inculpatory facts must be incompatible with the innocence of the accused and incapable of explanation, upon any other reasonable hypothesis than that of his guilt; sasa Jiwe anaangukia hapo
 
Nyie watu ni wajinga na wapumbavu wakubwa, kila siku mnabishana vitu vilevile na watu walewale. Kwa nn usibaki na msimamo wako na wao wabaki na msimamo wao?? Hata uweke comments 1000 hakuna namna utabadilisha wanachoamini. Acheni ujinga
Ujinga wangu uko wapi ?
 
Back
Top Bottom