mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Huwezi kumsahau katili aliyeua rafiki,
Jiwe alikuwa muuaji. Ndiyo maana hata aliyeko madarakani ameyabatilisha mengi yasiyo ya ubinadamu ya jiwe
mtoto wako, shangazi, mjomba ., mume, mke etc etc. Uko sahihi kabisa.
mkuu kama aliua mumeo na hujamaliza eda mpaka leo,nichukue nafasi huu kukushauri utafute bwana mwingine.
magufuli hachafuki kwa propaganda za kishamba hizi ambazo zina miaka zaidi ya mitano sasa.