DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Ni wapi nimekuza mambo ?We jamaa unapenda kukuza mambo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi nimekuza mambo ?We jamaa unapenda kukuza mambo sana.
Nimekujibu chini hapoHivyo ndivyo vithibitisho vyako ?
Wewe na hao mnaobishana ni wajinga na wapumbavu. Unapoteza muda wa nn kuwaeleza yote hayo? Kwani hawayajui?Ujinga wangu uko wapi ?
Nonsense threadTumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
View attachment 2350891
Achia vyombo husika vya usalama vichunguze kwanza punguza mihemko.Ni wapi nimekuza mambo ?
Nimesema huu ni uahlifu wa kawaida ni suala la serikali kukaza musuli kukomesha hawa vijana. Magufuylis era was characterized by politically motivated killings, abductions, torture, and the likeHii kauli yako unaweza kuitamka mbele ya Mama na Baba wa Maria Basso ?View attachment 2357763
Kauli zake zilisema ataua watu ?Yana maana sana. Kauli za magufuli na matendo yake . Kwenye sheria wanasema hivi: in order to justify the inference of guilt, the inculpatory facts must be incompatible with the innocence of the accused and incapable of explanation, upon any other reasonable hypothesis than that of his guilt; sasa Jiwe anaangukia hapo
Ungeanza kwanza wewe kuachia vyombo vya usalama kuchunguza matukio kuliko wewe kutoa shutuma zako moja kwa moja kwa hayati.Achia vyombo husika vya usalama vichunguze kwanza punguza mihemko.
Kuua na kukatakata mapanga watu unasema ualifu wa kawaida akifanyiwa hivyo Baba au Mama yako utatoa hiyo kauli ?Nimesema huu ni uahlifu wa kawaida ni suala la serikali kukaza musuli kukomesha hawa vijana. Magufuylis era was characterized by politically motivated killings, abductions, torture, and the like
Wewe jamaa kuna jambo binafsi JPM alikutenda, kwa maana hata kama wengi walilia ila kilio chako kina uchungu wa ziada.Tumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
Hitler/Musolin and the like hawatasahaulika mpaka dunia inarudi ilikotoka.
Hapana, mtu anayethamini uhuru wa binadmu, a freeman, we were born free, not objects of anyone! hawezi kumpenda MagufuliWewe jamaa kuna jambo binafsi JPM alikutenda, kwa maana hata kama wengi walilia ila kilio chako kina uchungu wa ziada.
Pole sana mkuu.
Ambayo ilisababisha Serikali kuibia watu wake kwa tozoChadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Mtawala yeyote ukikuta ana tumia jina la Mungu ujue ni Hatari sana huyo anahadaa watu na huku Afrika ukitaka uwakomeshe watu wee jiingize kwenye Dini maana huko wengi hawatumii Ubongo kufikiri so unawafanya unavyotakaHao kina Mussolini walikuwa wauaji lakini hawamtaji taji MUNGU. Wengine walikuwa wauaji huku wakijigamba kumtanguliza MUNGU mberee! MUNGU naye akaona isiwe tabu enough is enough!
Sawa , sisi ni wajinga ingekuwa ni busara zaidi wewe mwenye akili kutokujihusisha na mijadala ya wajinga na wapumbavu Ila kitendo cha wewe kujihusisha na huu mjadala kina zihirisha kuwa na wewe ni miongoni mwa hao wajinga na wapumbavu.Wewe na hao mnaobishana ni wajinga na wapumbavu. Unapoteza muda wa nn kuwaeleza yote hayo? Kwani hawayajui?
Wenzio hiyo ni mission, unavyozidi kupoteza muda kutaka kujadiliana nao ndio unavyozidi kuwapa mileage. Ukiwapotezea unapungukiwa na nn? Au unafikiri watakuelewa? Wote nyie mnaobishana ndio maana nawaita wajinga na wapumbavu wakubwa
uko sahihi, kama sio jizi hilo ni dawa za kulevya.Wewe jamaa kuna jambo binafsi JPM alikutenda, kwa maana hata kama wengi walilia ila kilio chako kina uchungu wa ziada.
Pole sana mkuu.