Huwezi kumsahau katili aliyeua rafiki,
Jiwe alikuwa muuaji. Ndiyo maana hata aliyeko madarakani ameyabatilisha mengi yasiyo ya ubinadamu ya jiwe
mtoto wako, shangazi, mjomba ., mume, mke etc etc. Uko sahihi kabisa.
Hivi aliyesema :tunafungua nchi:alikuwa anamaanisha kuwa Chadema WALIIFUNGA NCHI? au hata ww akili imekutoroka?.Chadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Lilivyukuwa lipumbavu lilidhani litaishi mileleTumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
Ishachoreka siku nyingi sana.Picha mnayomchora aonekane mtu mmbaya hata haichoreki! Msipaze mishipa kupambana na aliekwenda mnapoteza muda na nguvu
na tunapoelekea ni pagumu zaidi hali ya maisha haitabiriki kila kukicha bei ya vitu inapanda na kipato cha mwananchi kimeshuka kwa matozo ya kipumbafu.Tumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
Anahusikaje hapa sasaUmenikumbusha Chacha Wangwe
RIP
Sasa chadema wamenyonya nini na wapi wanyonyaji ni nyie wenye dola ambayo mnaitumia vibaya ccm ndio majizi makubwa nakumbuka kuna kigogo alikuwa anaihodhi ubungo bus terminal akawa analipa milioni moja tu kwΓ siku je huo sio unyonyaji?Chadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Alitamani kuwa chairmanAnahusikaje hapa sasa
Kwahiyo?Alitamani kuwa chairman
Kitu Kizito kikatili kikamshukia from mitaa ya Ufipa!Kwahiyo?
Mbwa lazima aitwe mbwa na shetani lazima aitwe shetani kamwe hawezi kuitwa vinginevyo.Picha mnayomchora aonekane mtu mmbaya hata haichoreki! Msipaze mishipa kupambana na aliekwenda mnapoteza muda na nguvu
Hata shetani wa Chato hatasahaulika mpk mwisho wa TanzaniaHitler/Musolin and the like hawatasahaulika mpaka dunia inarudi ilikotoka.
Nilikimbia nchi...Mbona wewee hujauliwa unaendelea kuuza mbege na wanzuki hapo Rau madukani!
Tuliopotelewa na wapendwa wetu tutasema mpaka mwisho wa dunia. Ikibidi tunalipiza kisasiPicha mnayomchora aonekane mtu mmbaya hata haichoreki! Msipaze mishipa kupambana na aliekwenda mnapoteza muda na nguvu
Akakata na ya kina Nape na Januari ambao sasahivi mnawaonea choyoπ πChadema hamtamsahau Shujaa Magufuli aliyekata mirija yenu ya unyonyaji na utapeli
Hahahaaa......wanawaza chadema tu ona sasa.Nawaona Walamba Asali wa CHADEMA kwa mujibu wa Joh
π π π π we jamaa umemtukana sana Johnthebaptist khaa!!Nawaona Walamba Asali wa CHADEMA kwa mujibu wa Joh
Una wazungumziaje panya road na hiki wanacho fanya kwa sasa , ajari za kila mara na maiti zinazookotwa kwa sasa maoni yako ni yapi ?Tumetoka kwenye tanuru la mauti. Asante bwana Mungu kwa wema wako.
Msikilize "Mungu" wa Dunia wa 2015- 2021
View attachment 2350891