Tumeudharau ugonjwa wa Corona kwa kukosa Maarifa na itakuwa inaondoa mmoja mmoja?

Every man/woman for himself/herself, God for us all.
 
Hapana hawezi kufa kizembe mfano mfano wa Ngono zembe Dada
Tema mate Chini Kaka.. Usimneneee Mama wa mwenzio Kifo naamini hata wewe Hutopenda Mtu amtabirie Mama yako Kifo. Japo tunajua wote Tutakufa ila Kufiwa kunauma Mno.
 
Tema mate Chini Kaka.. Usimneneee Mama wa mwenzio Kifo naamini hata wewe Hutopenda Mtu amtabirie Mama yako Kifo. Japo tunajua wote Tutakufa ila Kufiwa kunauma Mno.
Uzembe unaua Ngono zembe inaua kutovaa Barakoa kunauwa
 
Corona ni vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku
 
Hao Wazungu wenye maarifa mbona Corona inawasomba kwa maelfu kila siku? Ingia kwenye mtandao wa worldometer uone jinsi maelfu wanavyoambukizwa Corona kila siku huku wamevaa barakoa!!
We mwenyewe hautoi takwimu embu tupe takwimu za kwako kwanza
 
Hao Wazungu wenye maarifa mbona Corona inawasomba kwa maelfu kila siku? Ingia kwenye mtandao wa worldometer uone jinsi maelfu wanavyoambukizwa Corona kila siku huku wamevaa barakoa!!
current statistics zinaonyesha gralh zinazidi kushuka since establishment ya chanjo.
kinacho wasumbua wao kwa sasa ni speed ya maambukizi ni kubwa kuliko speed ya ugawaji chanjo.

atleast wao wameonyesha juhudi. sisi tumechukua hatua gani kupambana na hili janga?
 
Hebu nambie tu tangu walipoanza kuchukua hizo tahadhari, ni nchi gani angalau moja tu duniani imefanikiwa kudhibiti kusambaa kwa maambukizi na vifo vya UVIKO_19 na sasa wako salama kabisa. Ahsante
Australia, Newzealand, iceland, vietnam hizi ni baaadhi ya nchi ambazo zilifanya vizuri.. na zinafanya vizuri mpaka sasa kudhibit covid.
kilicho wabeba ni kuchukua hatua mapema.
 
Huwezi uka compare wao na kwetu.
wao wanahesabu sisi hatuhesabu. there is not actual comparison.
heard immunity haifanyi kazi kwa magonjwa yote. sweden na india zikiwa ni moja ya nchi ambao walitaka kufanya hii kitu.
leo hii wanapumulia mashine.

current world statistics inaonyesha maambukizi kushuka kwa kasi. kuliko mwanzoni ambapo hakukuwa na suluhisho lolote.
 
Australia, Newzealand, iceland, vietnam hizi ni baaadhi ya nchi ambazo zilifanya vizuri.. na zinafanya vizuri mpaka sasa kudhibit covid.
kilicho wabeba ni kuchukua hatua mapema.
Na embu nambie kwan wimb la pili na la tatu si limekuja baada ya watu kuchukua tahadhari, mbona halijabadili chochote. Au ndo kama ukishawah ndo umewahi ukichelewa hata ufanye nn dude haliwez kudhibitiwa?
 
Njia nyepesi ya kujua athari kwetu ni kujiuliza, ww umeshakufa??? Ukijua hilo ndo utaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…