Tumia njia zako binafsi kutatua changamoto zako, usipige kampeni wote tutumie njia zako

Tumia njia zako binafsi kutatua changamoto zako, usipige kampeni wote tutumie njia zako

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE...

Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...

Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...

Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...

Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...

Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...

Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...

MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...
 
Pole mkuu naona limekupata jiwe lililorushwa gizani, komaa tu na hiyo ndoa yako inayokuletea hadi akili haifanyi kazi sawa sawa.

Ulimpenda mwenyewe mkuu komaa naye hasira zako usiwarushie wasiotaka kuoa.
Mkuu Shetani anaishi ndani ya ndoa zenu ndo maana wazinzi wakubwa ni wanandoa na wanaofungisha ndoa.
 
Pole mkuu naona limekupata jiwe lililorushwa gizani, komaa tu na hiyo ndoa yako inayokuletea hadi akili haifanyi kazi sawa sawa.
Ulimpenda mwenyewe mkuu komaa naye hasira zako usiwarushie wasiotaka kuoa.
Mkuu Shetani anaishi ndani ya ndoa zenu ndo maana wazinzi wakubwa ni wanandoa na wanaofungisha ndoa.

Binadamu yeyote mstaarabu anaoa...
 
Maisha ya kutembelewa na wajukuu wana wazazi tofauti tofauti hayapendezi. Yaani uko hapo unajizeekea anakuja binti yako na watoto wanne kila mmoja na baba yake au kijana anakuletea watoto 4 kila mmoja na mama yake na hao mama zao wana watoto wengine kila mmoja na baba yake? Duh. Haipendezi.
 
KAMA KILA CHENYE CHANGAMOTO KINAKIMBIWA...BASI HATA NCHI WATU WATAKIMBIA...

HAKUNA KISICHO NA CHANGAMOTO...
 
Kutokuplan uzazi na mwanamke mmoja ni changamoto sana. Kijana anayeamua hatooa lazima atumie akili kubwa sana katika kuchagua nani wa kumzalia. Ni stress na kuongeza umasikini kwenye uzao wako.

Imagine: Una mtoto mmoja ana kaka na dada zake wasiobeba jina lako na baba za hao watoto wana watoto wengine na mama wenye watoto na baba tofauti tofauti. Sasa usiombe wewe uwe ni wa kipato cha kati na hao ndugu zake mwanao wanamuona kama ndo mkombozi wao na wao wana kaka na dada zao.
 
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE...

Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...

Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...

Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...

Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...

Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...

Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...

MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...
Ni mashoga ndio hayataki kuona ndoa.
Hakuna taifa linaweza kuwa na maadili bila familia
 
Nyie mnaooa ndio mashoga. Siri hii wake zenu wanatuambia tukiwakaza vyema. Mashoga wengi mmejifichia kwenye huo ujinga wa ndoa.
 
Back
Top Bottom