AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE...
Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...
Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...
Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...
Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...
Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...
Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...
MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...
Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...
Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...
Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...
Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...
Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...
Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...
MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...