Tumieni VPN kama internet iko slow sana

Dah picha nilizoziona twitter za ndugu zetu watanzania wenzetu waliouwawa kinyama hazipendezi sitazipost lakini serikali ya CCM kwakweli haifai.
 
Maswali uliyouliza sina majibu nimeona taarifa kama ilivyo nimeisoma tu.
 
tueleze vizuri unafanyaje kuipata hiyo proton, wengine haya mambo si wajuzi wa hivyo
We jamaa na uelewa mwingi kumbe mweupe kabisa kwenye IT. Hebu jiongeze napo uguseguse kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…