Tumlaumu Nyoka au Adam na Eva?

Aisee umemaliza..
 
Tumlaumu Mungu, mpanga yote. Nyoka, Adam, na Eva hawana makosa, bali aliyepanga na kuacha yatokee yaliyotokea wakati alikua na uwezo wa kuzuia, huyo ndo wakulaumu!!!
 
Hata kwenye Uislam Vivyo hivyo, Bali hadithi inaeleza Musaa alimwomba M/Mungu amletee Adam kwa Ajili majadiliano nae ina ilikuwa in term of miracle Ufufuo tu wa part time.
Huyo Musa na Adamu walikutana lini na wapi?
Ni akina nani walishuhudia huu mkutano?
 
Namlaumu Eva kwa kukubaliana na nyoka kuchapa lile tunda.
Kweli kabisa, kwa wanadamu Eva ndo kaanzisha zoezi la kuleta dhambi duniani, lakini vipi kama Adam angekataa kula lile tunda na Eva hivi maisha yangekuwaje hapo!!!!
 
Aisee kweli hili swala lina angle nyingi za kulidadavua
 
Irudiweee [emoji23][emoji23] huenda Hawa akawa anajielewa this time!
Anyway hii mijadala inavuruga sana akili
Ni kweli hii ni option nzuri ambayo nadhani hata sasaivi inaweza kutekelezeka sababu muumba ni muweza wa yote, arudishe time nyuma Eva na nyoka wafanye maamuzi mazuri this time tuje kuishi maisha mazur na sisi kizazi chetu kikifika. Lakini kwanini option hii haijatekelezwa?
Inavuruga sana akili
 
Nakuomba uje na Uzi tafadhari unaoelezea plan of salvation.

Natumai Kuna kitu unacho,sema umeeleza Kwa kifupi,

Tafuta muda uwandike Kwa kilefu uwe Kama Uzi kabisa
 
Naomba maelezo ya kina hapa kwenye maelezo yako haya chini;

kwenye huu mpango kila kitu šŸ¤”tulikubalianašŸ¤” na kilipangwa mfano Adam kukengeuka,yesu kusalitiwa,shetani kuasi, etc.

Tulikubaliana mmh,ebu fafanua???
 
hzi kitu ukzama kw ndn kuna kuchoshan akil kuna njanj mwing hapa bila kutmia akil vzr utayumb sn
 
Yuda hata hukumiwa kwa sababu alimsaliti yesu kwa kuwa yesu alikwisha waombea msamaha kwa baba yake waliohusika na kifo chake kwa sababu ya kutokujua wanalolitenda lakini hukumu yake ambayo itakuwa kwa yeyote yule wa mfano wake ni kwa kule kufa kwenye dhambi kwa kuwa hakuona nafasi ya kutubu, huenda ni kweli unavyofikiria ni mpango wa Mungu amsaliti lakini swala la kupotea kwa sababu ya kushindwa kutubu sidhani kama ni sahihi kusema pia Mungu anahusika ila ni mtu mwenyewe maana hata petro unayemsema alimkana yesu mara tatu tena kwa kulaani na kuapa lakini aliona nafasi ya kutubu kwa sababu aliamini Mungu ni wa msamaha na Toba ya kweli anaipokea, na kwa Imani yake akasamehewa, maana hakuna dhambi ambayo Yesu hakuifia hata iwe mbaya kiaje, ukiamini kwa moyo wako wote na kukiri kwa kinywa ushaokolewa. Usipoamini ndio ushahukimiwau
 
Hii ndio kanuni ya kiroho iliyopo na inayotumika kutuokoa pia.kwa kuasi mtu mmoja Adamu wote tukahesabiwa hatia tumekosea na laana ya kifo ikatupata lakini pia kwa matendo ya haki ya mtu mmoja Yesu ambaye ni mwana wa Adam tukahesabiwa haki yake kuwa tunastahili kuishi na kupokea kipawa cha uzima wa milele kwa iman.
 
U
Sawa mkuu asante kwa mchango
 
Ulikua ni mpango wa Mungu.
Siyo kila jambo ni mpango wa Mwenyezi Mungu!
Mipango mingi mibaya ni mipango yetu sisi binadamu.
Usiniambie kuwa matendo yako yote tangu uamkapo hadi ulalapo ni mipango ya Mwenyezi Mungu.
Nitatoa mfano:
Miongo kadhaa iliyopita wakati nikiwa sekondari (maeneo ya kanda ya ziwa), mjukuu wa mama mwenye nyumba alifariki dunia. Msiba ulikuwa pale pale nyumbani tulipokuwa tumepanga mimi na kaka yangu.
Ni wazi kuwa kilichofanya aage dunia kilijulikana pale mtaani. Marehemu (binti) alikuwa mtu wa kujirusha sana na mwisho wake alibeba mimba. Ili kikwepa aibu na mambo mengine aliamua kumeza vidonge ili afanye abortion.
Mauti yalimkuta baada ya kuchukua uamuzi wa kuondoa maisha ya kiumbe kisichokuwa na hatia.
Pale msibani niliona kitu cha ajabu!
Wale wazee wenye kutia ina kwenye ndevu, walifika msibani kwa ajili ya kumpa pole mama mwenye nyumba juu ya msiba wa mjukuu wake. Kauli ya "Pole, hiyo ni kazi ya Mungu", ilitawala pale msibani.
Je ni kweli kuwa ile ilikuwa ni kazi ya Mwenyezi Mungu?

Mwenyezi Mungu ana mipango mizuri kwa wale wamchao - Romans 8:28.
 
"Yesu ambae ni mwana wa Adam" !!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…