Tumpe Zuchu kura za ndio na WCB Wasafi

Tumpe Zuchu kura za ndio na WCB Wasafi

Wacha nimpe kura huu mkwaju wake wa sukari umenikosha kwelikweli aisee
Mtoto anajua sana huyu
 
Km kupiga kura zinatumika MB Basi kura yangu hapati. Yani niache kulog in ex dot kom nikae kumpgia kura zuchu
Tafuta papuch uchakate mkuu ex dot kom itakupunguzia ufanisi hutailamba sukari vizuri 😁😁
 
Msanii wangu bora wakike na best upcoming kwa mwaka 2020..ngoja nimalizie kuiskiliza hii ngoma yake mpya yuko na Bruce melody then nikampigie kura.
 
wewe upo kwenye dunia yako ngumu sana nisijichoshe bureee [emoji4]
Alipokuwa anabagua Watanzania wenzake kwa kuwaombea mabaya mlimwambia kuna siku atawahitaji? Hili ombi peleka hapo Lumumba sisi wapinzani tumeshateteleka kama alivyotuombea hatuna hata bando la kutuwezesha kupiga kura.
 
wewe upo kwenye dunia yako ngumu sana nisijichoshe bureee 😊
Dada mbona kama hueleweki? Watu wanaweka nyimbo zake ili wajue ukali wa zuchu na kushawishi kupiga kura, imeandikwa SUKARI na hiyo WAPINZANI WATETEREKE lakini naona kama hiyo ya wapinzani huitaki
 
ingia kwenye link kisha vote


jamani mjitaidi kuvote ata kama uwapigii wengine akikisha umempigia mate wangu zuhura aka zuchu
category ni breakthrough act

View attachment 1683345

View attachment 1683346



View attachment 1683353
Malipo ni hapa hapa Duniani.

Ukilima bangi usitegemee kuvuna maharage.

Kwamba Dua lake la wazi kwa upinzani limesahaulika?

Tujifunze kwa makosa.
 
Mzee baba nakuona siasa zimekukaa Sana kichwani sipati picha mke wako angekuwa Ni mwanachama wa CCM sijui hiyo ndoa ingekuwaje? au happyxxx una msaidia vip mtu wa Aina hii
ndio maana nimempuuza, mwanaume anaeteswa na mambo ya siasa namuonaga kama hazimtoshi kichwani. hivo yaani
 
Back
Top Bottom