Tumpe Zuchu kura za ndio na WCB Wasafi

Tumpe Zuchu kura za ndio na WCB Wasafi

Dada mbona kama hueleweki? Watu wanaweka nyimbo zake ili wajue ukali wa zuchu na kushawishi kupiga kura, imeandikwa SUKARI na hiyo WAPINZANI WATETEREKE lakini naona kama hiyo ya wapinzani huitaki
pole kwa maumivu ya maisha ulochagua
 
Malipo ni hapa hapa Duniani.

Ukilima bangi usitegemee kuvuna maharage.

Kwamba Dua lake la wazi kwa upinzani limesahaulika?

Tujifunze kwa makosa.
zuchu hana kosa lolote kuchagua anachokipenda na inshallah Mungu atamsaidia ataipata......., ni wewe tu nikupe pole kwa kuteseka na vitu ambavyo havitakaa vibadili maisha yako
 
zuchu hana kosa lolote kuchagua anachokipenda na inshallah Mungu atamsaidia ataipata......., ni wewe tu nikupe pole kwa kuteseka na vitu ambavyo havitakaa vibadili maisha yako

Maombi yenu kama haya muwe mnakumbuka mliko peleka mboga.

Huku kwingine mnapoteza muda tu.

Mara hii tu tumeshazisahau kweli zile dua zenu mbaya?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
zuchu hana kosa lolote kuchagua anachokipenda na inshallah Mungu atamsaidia ataipata......., ni wewe tu nikupe pole kwa kuteseka na vitu ambavyo havitakaa vibadili maisha yako
Jibu takatifu kabisa Hili.
 
Maombi yenu kama haya muwe mnakumbuka mliko peleka mboga.

Huku kwingine mnapoteza muda tu.

Mara hii tu tumeshazisahau kweli zile dua zenu mbaya?

Au nasema uongo ndugu zangu?
Wapinzani wanakulipa sh ngapi? au una nafasi gani ya uongozi kwenye hivyo vyama vya upinzani?
 
Wapinzani wanakulipa sh ngapi? au una nafasi gani ya uongozi kwenye hivyo vyama vya upinzani?

Haki haihitaji malipo. Ila haya mnayowaombea pelekeni Lumumba.

Bila kuwatia adabu hawa na siku nyingine watarudia.

"Acheni kunyea kambi."

Mlisha acha mavi kwenye kambi mnayotaka kurejea. Mtajihifadhi vipi sasa?

Kwani kwenye hizo kura za kwenye mabegi hamruhusiwi kwenda kuzipenyeza?
 
Haki haihitaji malipo. Ila haya mnayowaombea pelekeni Lumumba.

Bila kuwatia adabu hawa na siku nyingine watarudia.

"Acheni kunyea kambi."

Mlisha acha mavi kwenye kambi mnayotaka kurejea. Mtajihifadhi vipi sasa?

Kwani kwenye hizo kura za kwenye mabegi hamruhusiwi kwenda kuzipenyeza?
Kwanza kabisa Me sio mshabiki wa chama chochote Cha siasa na Sina mpango wa kupoteza muda wangu kupiginia vyama ambavyo wameweka maslahi yao mbele kuliko maslahi ya Uma Bora muda wangu nipoteze kwa kuangalia movie angalau ninaweza kujifunza kitu kuliko kushabikia vyama vya kitapeli ndio maana nskushangaa wewe kuwekeza muda mwingi kwenye vyama vya siasa unapoteza bando lako upati kitu chochote zaidi ya kupoteza muda.Wenzako Kama Tumaini Makene,Hamphram polepole,John mnyika siasa Ni kazi yao na wanalipwa sio mbaya Kama wao watatetea matumbo yao kwasababu wanafaida ila sio wewe
 
Kwanza kabisa Me sio mshabiki wa chama chochote Cha siasa na Sina mpango wa kupoteza muda wangu kupiginia vyama ambavyo wameweka maslahi yao mbele kuliko maslahi ya Uma Bora muda wangu nipoteze kwa kuangalia movie angalau ninaweza kujifunza kitu kuliko kushabikia vyama vya kitapeli ndio maana nskushangaa wewe kuwekeza muda mwingi kwenye vyama vya siasa unapoteza bando lako upati kitu chochote zaidi ya kupoteza muda.Wenzako Kama Tumaini Makene,Hamphram polepole,John mnyika siasa Ni kazi yao na wanalipwa sio mbaya Kama wao watatetea matumbo yao kwasababu wanafaida ila sio wewe
Mbona wewe unatetea tumbo la shoga yako zuchu?
 
Back
Top Bottom