Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mie hater wa WCB msitafute huruma ya wanawake kupendana so wachafu koge wote wanawake?
Kwann wanawake hampendani kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann wanawake hampendani kabisa?
Hivi watu wanapata faida gani kwa hawa wasaniiHeeeh! Vipi tena jamani kwani huturuhusiwi tena kusikiliza nyimbo ya huyu binti?
Mleta uzi kesho watambunulia birian na maji ya pangani tuWamekulipa bei gani?
Huyo anaweza kuwa ndiyo zuchu mwenyewe.Pole wewe unaehangaika kujipendekeza kwa zuchu
Ataambulia vijembe wakati wa kampeni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeeh sana lolAlipokuwa anabagua Watanzania wenzake kwa kuwaombea mabaya mlimwambia kuna siku atawahitaji? Hili ombi peleka hapo Lumumba sisi wapinzani tumeshateteleka kama alivyotuombea hatuna hata bando la kutuwezesha kupiga kura.
Alaine anajua yuleeeeh lol.Kuna pisi inaitwa Elaine ndiyo nimempa kura