Huwa mnajigonga wenyewe, mtalazimisha watu kupiga kura.Usimpigie kura mkuu hamounguzii chochote!..
Akatumie vyombo vya dola kupata kura kama za uchaguzi Mkuu.Wana Bodi Nawasalimu ...
Kuingia kwake kwenye kinyanganyiro inanipa tafsiri moja tu, nayo ni ukosefu wa viongozi Africa wanaonawirisha democracy.Waliomuweka wanaona mbali sana, kwa kuwa ana vigezo ndiyo maana kaingia kwenye kinyang'anyiro!
WENZAKE WAMESHATANGULIA MBELE YA HAKI, IDD AMINI, BOKASSA , NGUEMA NA WENGINEOWatanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka...
Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!Kuingia kwake kwenye kinyanganyiro inanipa tafsiri moja tu, nayo ni ukosefu wa viongozi Africa wanaonawirisha democracy.
Sisi wenyewe waafrika ndio wenye matatizo..Mugabe aliibuka raisi bora wa Africa Umesahau? Ukichukia wazungu tayari wewe ni bonge la kiongozi kwa waafrika wengi so sad.Kuingia kwake kwenye kinyanganyiro inanipa tafsiri moja tu, nayo ni ukosefu wa viongozi Africa wanaonawirisha democracy.
Mkuu Elly wanachokilalamikia ni nini hasa juu ya kiongozi wao? Ebu tujuze zaidi ili watu wafanye maamuzi sahihi.mimi nipo Ghana saivi wananchi wake wanalalamika balaa.
Lakini Lumumba imejaa hadi usiku wanapiga kura! Tunaelewa hata vyuo vikuu mmeenda! Mkishinda kwa kulazimisha itajulikana na mtaaibika kupita kiasi. Waondoe ile sifa ya kudumisha utawala bora na demokrasia ile aweze kufit!Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!
Ndivyo inavyokuwaga, wewe unapoona Magufuli hafai kuwa miongoni mwa wanaotakiwa kuchuana kwenye kinyang'anyiro cha Rais Bora Africa wengine wananamwona ni Lulu ya Africa!
thanks mkuu nilikuwa nnaclick vote kabla ya ku click kiduara,yeessss kura yangu imeenda kwa Raisi wa Ghana..namna ya kuchagua ipo mkuu.
Kabla ya jina la mhusika kuna ka-duara kadogo, una-click hapo kumchagua unayemtaka, then kule chini unabofya "vote"
Kampigie wewe na mke wako.Wana Bodi Nawasalimu.
Nina Muda Mrefu Sana Kama Mkongwe Humu Jamvini Takribani Miaka Saba Sijaingia Humu Nikipambana Jimbo La Meru Lirudi Ccm Leo Imenibidi Niingie Kwa Hili Nyambo Nyeti Sana La Kupiga Kura Kwa Maraisi Watatu Africa Bora Katika Demokrasia Na Mojawapo Aliyeingia Ni Rais MAGUFULI Ambaye Kila Mtanzania Mzalendo Anajua Kazi Nzuri Alizofanya Kwa Miaka Mitano Iliyopita.
Ninawaombe Sana Wanatanzania Wetu Kwa UMOJA Wetu Tushikamane Kwa Pamoja KUMPIGIA KURA Kwa Wingi Rais Mnyenyekevu Na Mzalendo Kabisa Kutokea John Pombe MAGUFULI hili Ni Letu Sote Halina Uchama Wala Udini , Wapo Baadhi Ya Watu Hususani Wanachama Wa Chadema Wanaendesha Kampeni Chafu Dhidi Ya Rais MAGUFULI Asipigiwe Kura Za Kutosha Wakiongozwa Na Kima Mmoja Anaitwa Kigogo2014 Hawa Watu Ni Wa Kuupuzwa Ni Watu Wenye Chuki Binafsi Na Rais Wetu Mpendwa .
Watanzania Ni Wakati Wa Kumpa Raha Rais MAGUFULI Kwa KUMPIGIA KURA Za Kutosha Kuwa The Best Political AFRICAN Leader Of The Year 2021.
Naomba Kuwasilisha.
Kwanza ungejiuliza ni chombo gani kinachoendesha hizo kura?Afrika tuna ombwe kubwa sana la uongozi yani mwizi wa kura, mbambikia kesi , mtekaji na muuaji ,mminya demokrasia na vyombo vya habari yupo kwenye kinyang'anyilo Cha best political leaders in afrika
Kwenye ubunge wa Biharamuro alipigwa na Phares Kabuye ndio sababu hapendi kabisa uchaguzi na akahakikisha Chato linakuwa jimbo kutoka Biharamuro na tangu apate ubunge kupitia jimbo la Chato amehakikisha anapita bila kupingwa miaka yote.Magufuli hajawahi kushindwa, huyo wa Ghana anaongoza tu kama ilivyo kawaida ya mchezo
Wasouth Africa wanajitambuwa sana, hawawezi kupigia kura vitu vya kipuuzi kama hivi.Hadi muda wa saa tisa na dakika 54:
View attachment 1667535
Toa ushahidi mkuuKwenye ubunge wa Biharamuro alipigwa na Phares Kabuye ndio sababu hapendi kabisa uchaguzi na akahakikisha Chato linakuwa jimbo kutoka Biharamuro na tangu apate ubunge kupitia jimbo la Chato amehakikisha anapita bila kupingwa miaka yote.
Ndugu Paulo, kwakweli kwenye hili la kuifanya demokrasia ishamiri, Magufuli si miongoni mwao. Labda kingekuwa kinyanganyiro cha ujenzi wa miundo mbinu kura yangu angeipata.Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!
Ndivyo inavyokuwaga, wewe unapoona Magufuli hafai kuwa miongoni mwa wanaotakiwa kuchuana kwenye kinyang'anyiro cha Rais Bora Africa wengine wananamwona ni Lulu ya Africa!