Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka...
WENZAKE WAMESHATANGULIA MBELE YA HAKI, IDD AMINI, BOKASSA , NGUEMA NA WENGINEO
 
Magufuli hajawahi kushindwa, huyo wa Ghana anaongoza tu kama ilivyo kawaida ya mchezo
 
Never siwezi poteza muda sina moral authority. pamoja mikono kuwa damu bado tu?
 
Kuingia kwake kwenye kinyanganyiro inanipa tafsiri moja tu, nayo ni ukosefu wa viongozi Africa wanaonawirisha democracy.
Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!

Ndivyo inavyokuwaga, wewe unapoona Magufuli hafai kuwa miongoni mwa wanaotakiwa kuchuana kwenye kinyang'anyiro cha Rais Bora Africa wengine wananamwona ni Lulu ya Africa!
 
Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!

Ndivyo inavyokuwaga, wewe unapoona Magufuli hafai kuwa miongoni mwa wanaotakiwa kuchuana kwenye kinyang'anyiro cha Rais Bora Africa wengine wananamwona ni Lulu ya Africa!
Lakini Lumumba imejaa hadi usiku wanapiga kura! Tunaelewa hata vyuo vikuu mmeenda! Mkishinda kwa kulazimisha itajulikana na mtaaibika kupita kiasi. Waondoe ile sifa ya kudumisha utawala bora na demokrasia ile aweze kufit!
 
Wana Bodi Nawasalimu.

Nina Muda Mrefu Sana Kama Mkongwe Humu Jamvini Takribani Miaka Saba Sijaingia Humu Nikipambana Jimbo La Meru Lirudi Ccm Leo Imenibidi Niingie Kwa Hili Nyambo Nyeti Sana La Kupiga Kura Kwa Maraisi Watatu Africa Bora Katika Demokrasia Na Mojawapo Aliyeingia Ni Rais MAGUFULI Ambaye Kila Mtanzania Mzalendo Anajua Kazi Nzuri Alizofanya Kwa Miaka Mitano Iliyopita.


Ninawaombe Sana Wanatanzania Wetu Kwa UMOJA Wetu Tushikamane Kwa Pamoja KUMPIGIA KURA Kwa Wingi Rais Mnyenyekevu Na Mzalendo Kabisa Kutokea John Pombe MAGUFULI hili Ni Letu Sote Halina Uchama Wala Udini , Wapo Baadhi Ya Watu Hususani Wanachama Wa Chadema Wanaendesha Kampeni Chafu Dhidi Ya Rais MAGUFULI Asipigiwe Kura Za Kutosha Wakiongozwa Na Kima Mmoja Anaitwa Kigogo2014 Hawa Watu Ni Wa Kuupuzwa Ni Watu Wenye Chuki Binafsi Na Rais Wetu Mpendwa .


Watanzania Ni Wakati Wa Kumpa Raha Rais MAGUFULI Kwa KUMPIGIA KURA Za Kutosha Kuwa The Best Political AFRICAN Leader Of The Year 2021.

Naomba Kuwasilisha.
Kampigie wewe na mke wako.
 
Afrika tuna ombwe kubwa sana la uongozi yani mwizi wa kura, mbambikia kesi , mtekaji na muuaji ,mminya demokrasia na vyombo vya habari yupo kwenye kinyang'anyilo Cha best political leaders in afrika
Kwanza ungejiuliza ni chombo gani kinachoendesha hizo kura?

Ni gazeti tu kama Tanzanite la Musiba, tuzo ni zile za Mo Ibrahim.
 
Magufuli hajawahi kushindwa, huyo wa Ghana anaongoza tu kama ilivyo kawaida ya mchezo
Kwenye ubunge wa Biharamuro alipigwa na Phares Kabuye ndio sababu hapendi kabisa uchaguzi na akahakikisha Chato linakuwa jimbo kutoka Biharamuro na tangu apate ubunge kupitia jimbo la Chato amehakikisha anapita bila kupingwa miaka yote.
 
Kwenye ubunge wa Biharamuro alipigwa na Phares Kabuye ndio sababu hapendi kabisa uchaguzi na akahakikisha Chato linakuwa jimbo kutoka Biharamuro na tangu apate ubunge kupitia jimbo la Chato amehakikisha anapita bila kupingwa miaka yote.
Toa ushahidi mkuu
 
Ni rahisi kumwona Rafiki yako ni mtu Bora Sana kushinda nduguyo wa Damu kisa alikuonya na kukukemea pindi ulipotaka kutoka kwenye mstari!!

Ndivyo inavyokuwaga, wewe unapoona Magufuli hafai kuwa miongoni mwa wanaotakiwa kuchuana kwenye kinyang'anyiro cha Rais Bora Africa wengine wananamwona ni Lulu ya Africa!
Ndugu Paulo, kwakweli kwenye hili la kuifanya demokrasia ishamiri, Magufuli si miongoni mwao. Labda kingekuwa kinyanganyiro cha ujenzi wa miundo mbinu kura yangu angeipata.
 
Back
Top Bottom