Yuko sahihiToa ushahidi mkuu
Umesoma vigezo kwenye hyo tuzo? Je magu anafiti?Wana Bodi Nawasalimu.
Nina Muda Mrefu Sana Kama Mkongwe Humu Jamvini Takribani Miaka Saba Sijaingia Humu Nikipambana Jimbo La Meru Lirudi Ccm Leo Imenibidi Niingie Kwa Hili Nyambo Nyeti Sana La Kupiga Kura Kwa Maraisi Watatu Africa Bora Katika Demokrasia Na Mojawapo Aliyeingia Ni Rais MAGUFULI Ambaye Kila Mtanzania Mzalendo Anajua Kazi Nzuri Alizofanya Kwa Miaka Mitano Iliyopita.
Ninawaombe Sana Wanatanzania Wetu Kwa UMOJA Wetu Tushikamane Kwa Pamoja KUMPIGIA KURA Kwa Wingi Rais Mnyenyekevu Na Mzalendo Kabisa Kutokea John Pombe MAGUFULI hili Ni Letu Sote Halina Uchama Wala Udini , Wapo Baadhi Ya Watu Hususani Wanachama Wa Chadema Wanaendesha Kampeni Chafu Dhidi Ya Rais MAGUFULI Asipigiwe Kura Za Kutosha Wakiongozwa Na Kima Mmoja Anaitwa Kigogo2014 Hawa Watu Ni Wa Kuupuzwa Ni Watu Wenye Chuki Binafsi Na Rais Wetu Mpendwa .
Watanzania Ni Wakati Wa Kumpa Raha Rais MAGUFULI Kwa KUMPIGIA KURA Za Kutosha Kuwa The Best Political AFRICAN Leader Of The Year 2021.
Naomba Kuwasilisha.
Hivi mtu akiona hana vigezo kwenye category husika si anaweza kuomba akajitoa au akawaomba waandaaji wamtoe? Ni ndoto tu zimenijia kabla sijalalaUmesoma vigezo kwenye hyo tuzo? Je magu anafiti?
Ulitaka ufanyejeπ€£π€£Link haifanyi kazi kwa sasa.
Wivu utakuua jitahidi kuwa mvumilivu; maana naona atashinda!Hiyo 56% kaipata wapi? au lumumba mme hack hiyo account mkaweka namba zenu kama kawaida yenu!
Inawezekana hizo kura zilikuwa na Nana A. Addo.
Wanayofanya viongozi wengi wa Afrika ndiyo yale yale waliyokuwa wanayafanya wazunguIlitakiwa asiwemo kabisa kwenye mchuano, sema tu Africa bado tuna hali mbaya sana ktk utawala bora hadi Magufuli anakuwa considered.
Kumbe na nyie mnajua kuwa Lissu ndiye alistahili kuwa Rais.Safi! Ili tumpige chini Magu na Lisu awe rais
Si ndio kama hivi mnampigia kura huko Ghana?Kumbe na nyie mnajua kuwa Lissu ndiye alistahili kuwa Rais.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwani yeye kipindi hicho ndio alikuwa anagawa majimbo??Kwenye ubunge wa Biharamuro alipigwa na Phares Kabuye ndio sababu hapendi kabisa uchaguzi na akahakikisha Chato linakuwa jimbo kutoka Biharamuro na tangu apate ubunge kupitia jimbo la Chato amehakikisha anapita bila kupingwa miaka yote.
Hata huku aliwabwaga kina Queen Sendiga na Hashimu Rungwe....lakini kwa Tundu Antipas Lissu ilibidi mabegi meusi yahusike.....so kuwabwaga hao wawili sio ishu.Na hao wa South na Senegal ambao Magu amewabwaga nao vipi?
Kwa Ghana atutoboi
Bado hali ni ngumu kwa upande wetu mkuu. Ghana ana 54 sisi tuna 44...labda ngoja tuone pakikuchaKatoboa JPM.
Mnateseka sanaSi ndio kama hivi mnampigia kura huko Ghana?
Wanatufanyia figisu. Usiku wanaipoteza link, tuwaambie watu watumie VPN. Sisi ndo wataalamu πππBado hali ni ngumu kwa upande wetu mkuu. Ghana ana 54 sisi tuna 44...labda ngoja tuone pakikucha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo