Unajifariji bure tuHata huku aliwabwaga kina Queen Sendiga na Hashimu Rungwe....lakini kwa Tundu Antipas Lissu ilibidi mabegi meusi yahusike.....so kuwabwaga hao wawili sio ishu.
Ishu ni je mabegi yatahusika kwa Nana Akufor Ado....
Hilo namuachia Mahela na Kaijage.
Anateseka nafsi alieopo ikulu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo
Aisee, una umri wa miaka mingapi ??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo
Bila kupingwaKatoboa JPM.
ALiyeleta Vpn ndio huyo huyo mnayehangaika naye.Hawa jamaa nao wahuni Kama wahuni wengine, Kuna baadhi ya device ukitumia unakuta thanks for voting wakati bado haujapiga KURA, na Kuna muda ukiingia hasa usiku hauipati hiyo link mpaka utumie VPN. Tumpigie KURA ikibidi kwa VPN wajue sisi ndo wataalamu wa hizi kazi 😂
Hahahaa naona wamekubiga ban kama yule msemaji wa serikali yenu kuke twitter akivyopigwa ban🤣🤣🤣Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.
Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Kwa akili zako za kichadema ndiyo unaona hivyoWaandaaji wa hiyo tuzo ni wapumbavu.
Magufuli hafai hata top 20. The worst dictator.
Labda angewekwa category moja na Kagame, Museveni, na yule wa Burundi ningempigia kura hata kwa kuazima simu za watu, maana hapo ndo anafit
Kwa akili zako za kichadema ndiyo unaona hivyoWaandaaji wa hiyo tuzo ni wapumbavu.
Magufuli hafai hata top 20. The worst dictator.
Labda angewekwa category moja na Kagame, Museveni, na yule wa Burundi ningempigia kura hata kwa kuazima simu za watu, maana hapo ndo anafit
Mbona umechukia mkuu? Kwani hamna mabegi?Kwa akili zako za kichadema ndiyo unaona hivyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata ya ujenzi wa miundombinu hastahili, hafikii hata robo ya miundombinu aliyojenga Kikwete. Propaganda tu na upigaji ndivyo vinatamalaki. Mbayaa zaidi anataka apige yeye peke yake na circle inayomzunguka, wengine ni maumivu kwa kwenda mbele..Ndugu Paulo, kwakweli kwenye hili la kuifanya demokrasia ishamiri, Magufuli si miongoni mwao. Labda kingekuwa kinyanganyiro cha ujenzi wa miundo mbinu kura yangu angeipata.
Hapa wameshindwa kuingia na mabox hawa jamaa ha ha haKama nilipiga kura kwenye uchafuzi wa mwaka jana haikuhesabiwa, naamini lazima atapata ushindi wa kura za kwenye viroba...
Bora kwa vigezo tajwa?Magufuli ni Rais bora anastahili sana, nimempa kura Yangu.
Mkuu,Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.
Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1668303