Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Unachosema ni sawa na hapa bongo ulinganishe kura za JPM na Rungwe,twende kwa hao wawili ambao wanachuana!JPM kakataliwa na watz wengi waliopiga kura!Kuthibitisha hilo nitaweka Poll hapa JF ambayo ni ya Tanzania halafu niweke hao washiriki watano halafu utaona mrejesho😁😁😁!
Utawala huu wa kiibilisi hauwezi toboa!
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.

Kwa mtazamo wako unamuona anafaa kuvaa hivyo viatu?
 
Hahahhaha... Hata Lisu alipoona kelele za twiter alifikiri tayari keahakuwa rais!

Yani unasema hiyo 10% aliyopata rais wa ghana ni watz kwa nini usiseme ni ya waghana?
 
Sisi tumewachagua kina Magu ndio wako ikulu wanapiga kazi kuibadiri tz iwe kama ulaya ambako mgombea wako kakimbilia.

Nmekupa tu ushauri badala ya kuhangaika kujaribu kumshusha Magu hangaika kutafuta mbinu za kushinda uchgauzi wa 2025 ili msikimbilie kwa Amsterdam tena
 
Hahahhaha... Hata Lisu alipoona kelele za twiter alifikiri tayari keahakuwa rais!

Yani unasema hiyo 10% aliyopata rais wa ghana ni watz kwa nini usiseme ni ya waghana?
U turn iliyotokea baada ya link kuwekwa hapa JF ni hatariiiii!Wabongo sio watu wazuri,hasa walioelimika!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo
[emoji23][emoji23][emoji23]
wapo Ufipa kwenye store yao pale.
 
Mwenye matokeo tafadhali aweke hapa tuone Magufuli kashinda kwa % ngapi!
 
Hivi kuna mwenye akili timamu anasadiki jiwe atashinda? Maajabu hayatakwisha chini ya jua!
 
Nilimwambia USSR kadri alivyokuwa anapiga kampeni humu JF ndivyo kadri asilimia za Magufuli zilivyokuwa zinapungua.
bora angekausha tu ikawa kura za kimyakimya maana sasa kumpita wa Ghana itakuwa kazi nzito. Akufo Nanaa Keshatutangulia kwa kura 12. Hivi ukitaka upige zaidi ya mara moja unafanyaje? Tupeane maujanja
 
Hata nyie mshukuru tu kwa kuchomekwa "jiwe"katika hili.Ndoto za ushindi msahau kama vile ndoto ya viwanda 100 kila mkoa mlivyopotezea.
 
Hiyo link mbona kwangu inakataa
 
Ningependa haka ka utaratibu ka kubofya katumike pia kwenye chaguzi zetu, yaani hapa huwezi kuingia na begi au kutishia watu na vyombo vya dola.
Thubutu! Kwanza hawawezi kuruhusu hilo litokee maana aibu itakayowapata ni ya millennium!
 
Kwani kukosekana tume huru kunawaathiri tu bavicha na Cdm yao ?!. Siyo kuwa ni tatizo la taifa kukosa ustaarabu ktk democracy ?!
 
Swala siyo kumnyanganya urais wake bali chuki zenu binafsi i.e mnamsema vibaya acheni kura ziamue basi

Tunamsema vibaya kivipi wakati ubaya wake mwenyewe ndiyo unaomwandama kila aendapo...?

Au hujui kuwa imeandikwa ya kwamba, "....matendo ya mtu huambatana naye...?"

Anyway, here below is the latest voting score sheet as for today the sixth of January, 2021..
 
Hahahhaha... Mkuu unachoshindwa kuelewa ni kwamba Magu kawatupa mbali sana south na senegal! Mbona hilo hamlioni.?

Magufuli hata asiposhika nafasi ya kwanza lakini ile kuwabwaga hadi south ni promo tosha kwake.
Aah, now you are talking. Lakini do you know why?

Simple. Ni kwa sababu Senegal, South Africa and others hawana siasa za kijinga kama za hapa kwetu Tanzania, siasa za kutukuza mtu huku tukitambua kabisa kuwa hana sifa hata chembe ya utukufu huo...

Just see this. Mitandao yote inahamasisha eti tupige kura wote kwa Magufuli kwa sababu tu ni Mtanzania na siyo kwa sababu ana sifa..

Huko unakosema hawana muda wa ujinga kama huu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…