Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Kamepewa assignment kajamaa ya kuropoka ropoka ujinga pamoja na yeye mwenyewe kutoamini anachoropoka.
Ana ubora gani?Labda wa kuhonga nyumba na vyeo kwa mahawala zake.
 
Kuandaa uchaguzi tu ulio huru na haki kashinda eti Rais Bora- maajabu ya mwaka!!

Nenda Ghana Ukaone namna mifumo inavyofanya kazi kwa uhuru na haki - Si mahakama wa Bunge mambo Bravo.. mnastahili tuzo hii kwa kweli.
 
Wabongo walivyo wa ajabu na walivo na chuki wanaweza wakaamua kuwapigia hao wawili wa mwisho kabisa ili nafasi ya kwanza ya pili na ya tatu zishikwe na watu wa mbali huko...kwa kweli huo sio uzalendo
hv yule mtt aliemshitaki babake kwa kutaka kuuza shamba hakuwa mzalendo
 
Mnahangaika na kuhamasisha watu kupiga kura, kwani anachofanya MAGUFULI hakionekani? Wacheni awe rewarded kwa anachostahili. Kwanza hajawaomba mumuombee kura. Acheni umal_ya wa kisiasa, kujipendekeza pendekeza tuuuuuuuu
 
Natamani JPM apitie nyuzi hizi mwenyewe. JF ni kioo.
 
Tunaanzaje kumpigia kura mtu anayesababisha tunalazimika kutumia VPN ndipo tuingie Twitter.
 
amekuwa wapili sababu waafrika hatujitambui
 
Malizia yupi ni yupi?
Magufuli ni Mtawala,mwenzie ni kiongozi,unajua tofauti hiyo inavyofanyakazi? Ado anaweza kuwa anapingwa sana kuliko magufuli,kwa kuwa tu Ado anaruhusu hilo litokee! Magufuli anaruhusu positive feedback tu,kwa hiyo ukiona kwenye media magufuli anapambwa sana ni kwa kuwa tu hicho ndicho anachoruhusu kifanyike,ila si uhalisia,mfano wamarekani na waingereza ndiyo wanaoongoza kwa maandamano ya kupingapinga mam o flani ya utawala wao,na hicho kinawafanya wazidi kuzipenda nchi zao,maana zinawapa haki hizo za kuwapinga hadharani,thubutu kwa magu!!
 
Saa 12 dakika 39 leo j5 yamebakia msaa tu upiga kura ufunge.
 

Attachments

  • Screenshot_20210106-183914_Chrome.jpg
    63 KB · Views: 2
Unatakwimu zozote kwamba wapiga kura wa hapo 95% ni watz?

Nani anapiga kura kwenye hilo gazeti uchwara? Watanzania ndio tumehasishana kwa ajili ya ushabiki wa kisiasa, hivyo wanaomshabikia shetani wanampigia, wenye hofu ya Mungu wanampa Nana.
 
Nani anapiga kura kwenye hilo gazeti uchwara? Watanzania ndio tumehasishana kwa ajili ya ushabiki wa kisiasa, hivyo wanaomshabikia shetani wanampigia, wenye hofu ya Mungu wanampa Nana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa mbona hueleweki?

Nimekuuliza unatakwimu zozote za kuonesha kwamba 95% wanaopiga kura ni watz na si wa ghana wala wasouth na senegal wala kenya?

Una takwimu?

Sasa kama ni gazeti uchwara una hangaika kupiga kura za nini wakati unajua ni nonsense?
 
inaonyesha ushawahi ishi ghana ila usikute your living in Ghana (tanzania) by experience of Google ndio ukaja na fact zako izo..
Vinginevyo prove hili
 
mtatoboaje wakati kura yangu ipo kwa nana
Kwa hiyo hatutoboi kabisa?...kuweni wazalendo jamani angalau ionekane na sisi tumeongoza. Si mnajua Rais ndiyo taswira ya nchi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…