Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise kumbe ni hao?Vichaa hawakosekani wana kikundi kinaitwa BAVICHA.bar ya vichaa
Hao wachache, pigeni hata laki moja, lakini kura yangu na washikaji zangu ziko Ghana muda mrefu.Huku kwangu ma group 3 watu zaidi ya 500 wote wamepiga kwa John Pombe Magufuli tena wanamwita kipenzi cha waafrika na dunia
Nangoja link ifunguke nimpigie rais wa Ghana.
Rais wa Ghana nilipenda alivyo mfundisha adabu yule jamaa wa ufaransa. Nampa kura yangu.Hao wachache, pigeni hata laki moja, lakini kura yangu na washikaji zangu ziko Ghana muda mrefu.
Mpigie kura rais wa ghana.Huo mda bora nikakatie maua yangu nje ya fance yanaweka msitu
Mbona hawajamuweka kwenye tano bora sasa...muandaaji kaamuwa kuwatukana wa Ghana.Mbowe ni kiongozi bora anakula ruzuku kila uchao
Kidoogo umeongea nenoMpigie kura rais wa ghana.
Huwa unawapigia wanaoshindwa tu
pengine analipenda au umewasiliana nae?Jamaniii, msimwite hivyo Halima😎😎😎