Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Huo mda bora nikakatie maua yangu nje ya fance yanaweka msitu
 
Huku kwangu ma group 3 watu zaidi ya 500 wote wamepiga kwa John Pombe Magufuli tena wanamwita kipenzi cha waafrika na dunia
Hao wachache, pigeni hata laki moja, lakini kura yangu na washikaji zangu ziko Ghana muda mrefu.
 
Huwa unawapigia wanaoshindwa tu
Hao wachache, pigeni hata laki moja, lakini kura yangu na washikaji zangu ziko Ghana muda mrefu.
 
Hao wachache, pigeni hata laki moja, lakini kura yangu na washikaji zangu ziko Ghana muda mrefu.
Rais wa Ghana nilipenda alivyo mfundisha adabu yule jamaa wa ufaransa. Nampa kura yangu.
 
Huyu mwandaaji hayuko fair hata kidogo, yahani anamuweka Akufo na Magufuli, kweli kweli kweli,......?????
 
Simba au yanga ukiwa inacheza na tiny ya taifa lingine kunawatu wanajitoa akili

Samatta alivyotoka Genk kwenda Aston Villa Kuna watu walijitoa akili

Samatta kutoka Aston Villa Kuna watu walijitoa akili

Bondia wa TANZANIA akipigana na wa taifa lingine akishinda oooh kapendelewa.

Jifunze kutengeneza heshima yako na familia yako automatically utakuwa umetengeneza heshima ya taifa lako

🔁🔁Ndo Mana wakenya🇰🇪 wanawadharau watanzania🇹🇿 wanawaita bogus📶.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…