Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tutampeleka Robert Amsterdam!
Hii imewakata, mpaka sasa ubao unasoma Ghana 53 Danganyika 41 na bado siku 2 tu. Tunaendelea kuhimizana kumpigia kura Nana Akufo Ado mwenye afadhali kuliko huyu dikteta aaiyefaa hata kwa kulumangia.
 
Wakamshonea oversize,
Mwenzake yule Eliah aliyekuwa akiimba kwaya akazawadiwa uafisa mtendaji,aongeze bidii atateuliwa ubalozi wa kijiji
 

Attachments

  • FB_IMG_1609741904810.jpg
    FB_IMG_1609741904810.jpg
    41.3 KB · Views: 1
Umeandika pumba tupu. Hivi una uhakika Magufuli ndio mtekaji???
Utaendelea kujifariji kwa comment kama hizi na member wenzio humu ndani usiporuhusu ufahamu wako ufanye kazi mpaka akili ikukae sawa.
Kama anabambikizia watu kesi kweupe,hayo mengine kwanini tusiamini anahusika?Kwanini wauwawe au kupigwa risasi au kupotezwa wakosoaji wake!
 
Dr John Pombe Magufuli, the president of the United Republic of Tanzania as his leadership attributes started to shine as one of the best offspring, humble, sense of humour, creative & innovative, inquisitive and interactive with people of all background circles, determined, firm and reasonable, development aspirant focusing high, ready to take risk daring to challenge the impossibility in search for lasting solution for majority advantage is solemnly recognized from scratch tender age to the present reality.
1. Was the best pupil at Chato primary scholl;
2.Was the best student at Katoke seminary school;
3.Was the best student at Lake secondary school;
4.Was the best student at Mkwawa high school
5. Was the best colleagiate at Mkwawa college of education
6.Was the best teriary student at UDSM pursuing BSc. in Chemistry & Mathematics with education
7.Was the best teacher deployed at Sengerema secondary school for Chemistry & Mathematics
8.Was the best postgraduate student pursuing MSc majoring in Chemistry
9.Was the best Chemist employed by Nyanza Cooperative Union dedicated for quality oil production by Voil industry
10. Was the scholar carried out research on cashew nut shells that extrapolated on valuable by-products use pursuig a PhD in the same discipline
11. Was an member of parliament (MP) for Biharamulo east
12. Was a deputy minister of works
13. Was a minister of works
13. Was a minister of land and human settlement develpment
14. Was a minister of livestock and fisheries
15. President of the United Republic of Tanzania for the past five years with tangible output
16. Chairperson for the EAC
17. Chairperson for SADC
18. Re-elected as president for the United Republic of Tanzania for the second term of the fifth phase
19, He is a hybrid democratic & conservative on national norms, values and policies;
20. He is a true practitioneer on executive state administration for effective goals achievement
21. He always emphasize on theories being translated into practice with admirable and quality rating approved by majorty especially the disadvantaged low income earning citizens without margining the midlle and high class economy gearing prominent persons. (peasants,traders, hawkers, pastoralist, fishers, mining, transporting, construction, healh services, education service etc all are euqually treated ad have brotherhood interactions prevailed since the founder of the nation)
Best student wa college na university huitwa , chosen valedictorian.
 
Rais Magufuli ni mzuri kwenye adminstration na ni bora kabisa kwenye Leadership!

Hakuna wa kumshinda hapa Afrika hilo hata Antipas analifahamu!
Labda kidogo leadership, SIYO administration.Na Kama ni administration ni pure dictatorship administration.
 
Kule hakuna gnu. Unaendelea kujidhalilisha rais shombo nani ampigie kura?
Alianza na zaidi ya 90% shuhudia mwenyewe alivyoporoka, ni kama ulivyoporomoka wewe dogo kwa kuramba mtamshi.
Na akamwambie wazi waluomporomosha toka 90+ hadi 41+ ni Watanzania wanaoijua na kuipenda nchi yao.
 
Eti ni
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966
Eti Mtanzania halisi,ukute ni mkimbizi wewe.Watanzania halisi ni wakweli na Wana utu.
 
Tangu juzi nataka nimwadhibu jiwe lakini kila nikifika sioni ile option ya kupiga kura.
Mfano check hapa nimetest tena lakini wapi japo nimeweka vpn
Screenshot_20210106-180824.png
 
Umeandika pumba tupu. Hivi una uhakika Magufuli ndio mtekaji???
Utaendelea kujifariji kwa comment kama hizi na member wenzio humu ndani usiporuhusu ufahamu wako ufanye kazi mpaka akili ikukae sawa.

Wewe ndiye mjinga hasa maana kumbe hata huelewi maana ya uongozi...

Ni hivi, ukishakuwa kiongozi wa taasisi au kampuni au nchi, chochote kizuri au kibaya katika taasisi au kampuni au nchi hiyo, unakibeba wewe...

Naona hata huijui katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 kuwa inampa Rais mamlaka ya kifalme...

Kwa kukujengea ufahamu tu ni kuwa, hakuna kiongozi Tanzania wala maamuzi yoyote ktk government administration structure yanayoweza kufanyika pasipo baraka za Rais...!!

Hata ukitaka pesa za kuchimba kisima ktk mtaa wenu ni mpaka zipate idhini ya Rais. Akisema hakuna pesa, mtaa wenu mzima wote mtakufa kwa kukosa maji...

Kwa hiyo unapouliza swali la "....kwani Rais ndiyo mtekaji au ndiyo anapiga risasi raia wake...?", unakuwa unajaribu kuweka wazi ujinga wako wa kutokuelewa namna nchi inavyoendeshwa...

Hata hivyo jibu la swali lako ni: NDIYO yeye Rais ndiye anateka watu indirectly kwa maelekezo yake...!!!!

Pole sana kama ulikuwa hujui...
 
Yesu ruwa ni ww kweli
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
Mkuu Suphian Juma,

Despite your political affiliations and critic to the state administration as a patriotic Tanzanian on this matter you have nailed to the heart beat. Given the fact you are no longer bound by ACT Wazalendo ideology at present you have impartially capitalized your constructive views to influence the Tanzanians with personal hatred against his excellency Dr. John Pombe Magufuli to reverse touting in favour of the far held stick which won't give them relief when they mobilize the voters to down rate JM in the ongoing electronic polling process. Huo ndio uzalendo bila kujali i kiasi gani umathiriwa na utawala ulipo madarakani kwa matendo yako mwenyewe.
 
RAIS MAGUFULI NI BORA KULIKO RAIS NANA AKUFO-ADDO WA GHANA; TUZO TUIREJESHE KWETU

Na: Suphian Juma

Jarida la African Leadership ambalo husaidia kuinena vema Afrika duniani, linaendesha zoezi la upigaji kura. Katika kipengele cha Kiongozi Bora wa Kisiasa Afrika yaani AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR; Rais wetu Magufuli yumo akiwaacha mbali MaRais wa Senegal, Afrika Kusini, huku akipitwa kura kiduchu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo katika upigaji kura unaoendelea mtandaoni.

Naona baadhi yetu Watanzania wanampigia chapuo Nana, nadhani hii ni kwa sababu aidha hawajawahi kuishi Ghana ya Nana, hawajazisoma vema siasa za Ghana ama basi tu ni chuki zao binafsi kwa Rais wetu Magufuli.

Wasiojua Nana ndiye Rais wa kwanza wa Ghana kukopa fedha nyingi zaidi kuliko Rais yeyote tangu Ghana ipate Uhuru. Shirika la Fedha duniani (IMF) limetamka kwamba deni la Ghana linakadiriwa kufika 74.7% kufikia mwaka huu wa 2021. Huyu Rais wa madeni ambaye anawaumiza wananchi wake maskini kulipa madeni hayo atafaaje kuwa bora kuliko Rais wetu Magufuli?

Nana anakadiriwa ndiye Rais ambaye hadi sasa ndiye mwenye mawaziri wengi zaidi kuliko Rais yeyote duniani. Yaani Baraza la mawaziri lake lina jumla ya mawaziri 125 achilia mbali Manaibu waziri wake. Fikiria mishahara yao na marupurupu yao katika nchi ndogo kama Ghana yenye jumla ya watu milioni 30. Sisi Tanzania tupo milioni karibia 60 yaani mara mbili ya Ghana ila Rais Magufuli hata mawaziri robo ya mawaziri wake Nana hatujawahi kuwafikisha. Maana hadi sasa Rais Magufuli ana mawaziri 23 tu.

Kingine cha kutia huzuni Ghana ya Nana ni AJIRA. Unaambiwa Ghana kijana kupata kazi Serikalini au hata kwa Taasisi binafsi ni kizungumkuti. Mwandishi wa DW wa Ghana Manasseh Azure Awuni katika uhariri wake uliochapishwa Desemba 10, 2020 anasema
ni rahisi kijana kubebeshwa mfuko wa saruji shingoni mwake na akapita bahari ya Atlantiki ila si kijana huyo kupata kazi Ghana katika utawala wa Nana Akudo-Addo. Sasa tujiulize Nana Serikali yake kukopa kote huko kwanini pasisaidie kutatua janga la ajira? Nana ni msanii.

Huku kwetu tangu Rais Magufuli aingie madarakani tukiweka unafiki pembeni, hakika viongozi wamekuwa na adabu kwa wananchi. Hali haiko hivo kwa Nana. Wachambuzi wa Siasa walioko Ghana wanasema Mghana wa kawaida hana mamlaka ya kummwajibisha Kiongozi isipokuwa tu hadi ifike muda wa uchaguzi kupitia kura yake sandukuni. Ila huku kwa Mzee Magu, mwananchi wa Buza kwa Mpalange alitukanwa tu na M/kiti wake wa Mtaa, mwenyekiti huyo kazi hana.

Mfano wa hili la kukosekana 'accountability' kwa Viongozi huko Ghana; mwaka 2019 Mwandishi wa Habari za Uchaguzi wa Ghana Ahmed Hussein-Suale alipigwa risasi na kufa Accra. Kabla ya kuuawa Ahmed alitishiwa kifo na Mbunge wa Chama cha Nana, na hadi sasa si Polisi wa Nana wala vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama ambavyo vimewahi kutoa matokeo ya uchunguzi wala kumwajibisha huyo Mbunge ambaye alimtishia kifo Ahmed.

Nana si muumini wa Utawala bora wala wa Uhuru wa vyombo vya habari; Imagine Julai mwaka jana Rais Nana aliamuru kuachishwa kazi Mhariri Mkuu wa Chombo cha habari nchini humo aitwaye Daniel Domelevo licha ya kukatazwa na Asasi za Kiraia kisa tu Mhariri huyo aliruhusu habari irushwe iliyohusu ukaguzi wa Mali za kifisadi za Waziri wake aliyemtegemea kwenye Baraza aitwaye Yaw Osafo-Maafo.

Kiufupi Rais Nana Akufo-Addo ana udhaifu mkubwa mno katika maeneo ya utawala bora na katika vita dhidi ya ufisaidi ukimlinganisha na jembe letu Magufuli. Demokrasia ya kweli lazima iambatane na Utawala bora, uwajibishwaji wa Viongozi na Serikali huku matatizo makubwa kama ajira na maisha bora kwa wananchi yakitekelezwa kikamilifu ila haya kwa Nana bado ni mtihani Mkubwa.

Na isitoshe kusema: uchaguzi wa Ghana ambao ulipita mwaka jana bila kumwaga damu, nyumba na mali za watu kuchomwa si kigezo pekee cha kupima ubora wa Kiongozi. Ghana wana vyama viwili ambavyo ni pacha tofauti ni majina tu NPP ya Nana na NDC ambavyo huachiana madaraka kila uchaguzi; kimoja kikiwa upinzani kinaonekana bora kwa kukisema kilichopo madarakani lakini maisha ya raia wa kawaida ni magumu mno. Huku si kukomaa kwa demokrasia bali kudumaa kwa demokrasia tofauti na tunavyoaminishwa na wanaharakati mtandaoni.

Hivyo nawaombeni kura zote tumpigie Rais wetu Magufuli ambaye ni mchapakazi wa kweli, msimamizi makini wa kodi zetu na mwendelezaji wa miradi mikubwa ya wananchi wake, na kinara wa Utawala bora unaompa mwananchi wa kawaida fursa ya kummwajibisha Kiongozi wake muda wowote kuliko kusubiri wakati wa uchaguzi kama huko kwa Nana Akufo-Addo wa Ghana.

Bofya: https://t.co/xhDotKvYzI?amp=1

Mwisho wa kupiga kura ni Januari 8, 2021. Wahi sasa tuing'arishe Tanzania yetu duniani.

Suphian Juma Nkuwi,
Mtanzania Halisi,
Januari 06, 2020
Phone: 0717027973
Email: yessuphian@gmail.comView attachment 1669966View attachment 1669967
Mimi kama mtanzania nilimpigia rais wa Ghana.
 
Ngoja nimpigie kura mzee wetu labda atafurah na kutuzawadia ajira wadogo zetu wapate vibarua
 
I like this conversation..

Kuhusu hoja yako. Jibu ni HAPANA...

Bali wanapiga kwa sababu kiongozi wao ndivyo alivyo. Anazo sifa na vigezo vyote...

Ukipenda kufahamu, mimi Mtanzania nimempigia Nana Akufo pia...

NANA AKUFO asingekuwemo kwenye orodha ya wawania TUZO, na badala yake wakawemo watu kama Yoweri Museven, Paul Kagame, Nkurunzinza and the likes nisingesumbuka kupiga kura yangu maana hili lingekuwa shindano wezi na dictators kumtafuta mwizi na dictactor mkuu zaidi...!
Sasa hao wanaompa Magu badaya Sauth au Senegal maana yake nini?
 
Back
Top Bottom