Magufuli alikuwa takataka, sishangai uamuzi wakeInashangaza sana huyu Amos Makalla alifukuzwa kazi akiwa RC na marehemu Magufuli ; lakini mara tu baada ya Samia kuukwaa Urais, Vasco Dagama akalisigeza jina la Makalla kwa Samia nae akamteua kama Tc tena; cheo kilichomshinda enzi ya Jiwe!!
Vasco Dagama amfanikiwa kumuondoa Makonda chamani hivi sasa anamdhawishi Samia amteue Makalla kama mwenezi ili akishirikiana na Nchimbi kutimiza ajenda zake za kkumblackkmail Samia!
Aliiba nini?
We unaotaCCM ishafitinika.
Samia hana masimamo na Chama hakijajua mwelekeo wa mwenyekiti.
Wasemaji haielewi falsafa ya mwenyekiti.
Ndani ya miaka mitatu wasemaji wanne.
Umempatia, mazuzu hayo. Mi sijawahi kusikia wala kuona watu wanasherehekea kifo cha binadamu mwenzao ila niliona kwa Magufuli. Nchi nzima ilisherehekea kufa kwake leo wapumbavu kutoka lile genge la kisukuma wanawalazimishia watanzania huyo shetani wao mfu. Makala ndiyo mwenezi mtarajiwaMagufuli alikuwa takataka, sishangai uamuzi wake
Amos MakalaNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Mpeni LucasNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Kwahiyo CCM wamteue awe mwenez wao? Atakubali kua Chawa wa Mama?
Mamaaaaaa!🤣Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Chenge Au WassiraAsharose migiro.
Kwanza nani anaye ipenda CCM?angalau ata Makonda na Polepole walijaribu kuwashawishi Wananchi kumpenda shetani!Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!