chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Magufuli alikuwa takataka, sishangai uamuzi wakeInashangaza sana huyu Amos Makalla alifukuzwa kazi akiwa RC na marehemu Magufuli ; lakini mara tu baada ya Samia kuukwaa Urais, Vasco Dagama akalisigeza jina la Makalla kwa Samia nae akamteua kama Tc tena; cheo kilichomshinda enzi ya Jiwe!!
Vasco Dagama amfanikiwa kumuondoa Makonda chamani hivi sasa anamdhawishi Samia amteue Makalla kama mwenezi ili akishirikiana na Nchimbi kutimiza ajenda zake za kkumblackkmail Samia!