Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

Inashangaza sana huyu Amos Makalla alifukuzwa kazi akiwa RC na marehemu Magufuli ; lakini mara tu baada ya Samia kuukwaa Urais, Vasco Dagama akalisigeza jina la Makalla kwa Samia nae akamteua kama Tc tena; cheo kilichomshinda enzi ya Jiwe!!
Vasco Dagama amfanikiwa kumuondoa Makonda chamani hivi sasa anamdhawishi Samia amteue Makalla kama mwenezi ili akishirikiana na Nchimbi kutimiza ajenda zake za kkumblackkmail Samia!
Magufuli alikuwa takataka, sishangai uamuzi wake
 

Attachments

  • Screenshot_20240331-221925.png
    Screenshot_20240331-221925.png
    1.1 MB · Views: 1
Ila akaunti nyingi za mitandao zinakuwa hacked sana, kwa hiyo sishangai
 
Huyu wa kabuhoro,kirumba mwanza? JPM alimuweka kwenye mfumo kwa sababu ya ukabila tu
 
Magufuli alikuwa takataka, sishangai uamuzi wake
Umempatia, mazuzu hayo. Mi sijawahi kusikia wala kuona watu wanasherehekea kifo cha binadamu mwenzao ila niliona kwa Magufuli. Nchi nzima ilisherehekea kufa kwake leo wapumbavu kutoka lile genge la kisukuma wanawalazimishia watanzania huyo shetani wao mfu. Makala ndiyo mwenezi mtarajiwa
 
Katibu mwenezi awe Mama Samia mwenyewe sababu kila anayemuweka anamtoa ashike mwenyewe hiyo kazi.
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Mamaaaaaa!🤣
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Kwanza nani anaye ipenda CCM?angalau ata Makonda na Polepole walijaribu kuwashawishi Wananchi kumpenda shetani!
 
Back
Top Bottom