Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Tuwekewe Muislam yeyote ili kukamilisha safu ya Mnyaazi Mungu.

Ikiwezekana Shehe Mwaipopo atatufaa zaidi
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Polepole
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Chama kinalijua hilo vyema kabisa na kina vijana waledi, wenye elimu,na waliokwisha kuonyesha uwezo wao wa kiutendaji. Wala hakuna haja ya kupendekeza jina hata kidogo, tatizo ni kuwa CCM wamejigeuza na kuwa kundi la mbwa mwitu, wanapeana hizo nafasi si kwa kuangalia uwezo peke yake.
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Akuteue wewe

Ova
 
Mtu asokuwa na vision hata ukimsaidia impact haionekani. Inaonekana ccm kazi kubwa ni kuteua na kutengua kila siku. Hata mtu aharibu kiasi gani atahamishwa sehemu A kwenda B na wadau watashangilia kama vile Simba vs Al ahly.
CCM wanajua watanzania tunataka nini, wanatupa exactly tunachotaka. Wiki hii ni gossip ya Makonda vs Katibu mwenezi, hakuna lenye tija, hata report ya CAG haiingizwi kwenye mjadala wa kitaifa tena.
 
Ushoga huwa unaanza kwa kujipendekeza katika mambo yasiyokuhusu.
Ni lini Samia alisema anahitaji maoni yenu kuhusu nafasi ya katibu mwenezi?
Makonda simpendi tangu zamani ila Samia amempandisha wadhifa ingawa wengi wanadhani ametupwa.
Nafasi ya katibu mwenezi wa chama sio kubwa kama mnavyodhani, ila hulka ya Makonda ndio ilifanya hiyo nafasi muione kubwa.
 
Ujinga huu, tuache kusaidia watoto wetu ambao wanakaa chini bila madawati au wamama wanaotembea kilomita 20 kufuata maji baada ya miaka 60 ya uhuru eti tuhangaike na upuuzi wa chama kilichosababisha haya yote, Seriously??
 
Ushoga huwa unaanza kwa kujipendekeza katika mambo yasiyokuhusu.
Ni lini Samia alisema anahitaji maoni yenu kuhusu nafasi ya katibu mwenezi?
Makonda simpendi tangu zamani ila Samia amempandisha wadhifa ingawa wengi wanadhani ametupwa.
Nafasi ya katibu mwenezi wa chama sio kubwa kama mnavyodhani, ila hulka ya Makonda ndio ilifanya hiyo nafasi muione kubwa.
Sasa ushoga unakujajee hapa?
 
Back
Top Bottom