Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Of course kila chama kina wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course kila chama kina wenyewe.
Gobless lemaJohn Mnyika,
Yule mwehu tu unafikiri ccm hawana akili waweke chiziHaji Manara ni kada mzuri wa CCM kwa miaka mingi, maarufu, anajuwa kuobgea na anajuwa kusambaza uj7mbe wake kwa stailibyake mwemyewe.
Naamini kazi hiyo Haji Manara itamfaa sana na pia naamini kawacha ujinga wa utotoni / ujanani.
Manara hoyeeee.
Reconciliation.Ili aibe tena ee?
Reconciliation.
Bibi bado upo Canada ?Of course kila chama kina wenyewe.
Aliiba nini?Mwizi hana reconciliation
Haji Manara ni kada mzuri wa CCM kwa miaka mingi, maarufu, anajuwa kuongea na anajuwa kusambaza ujumbe wake kwa staili yake mwenyewe.
Naamini kazi hiyo Haji Manara itamfaa sana na pia naamini kawacha ujinga wa utotoni / ujanani.
Manara hoyeeee.
Leo pasaka umesali wapi?Haji Manara ni kada mzuri wa CCM kwa miaka mingi, maarufu, anajuwa kuongea na anajuwa kusambaza ujumbe wake kwa staili yake mwenyewe.
Naamini kazi hiyo Haji Manara itamfaa sana na pia naamini kawacha ujinga wa utotoni / ujanani.
Manara hoyeeee.
Bashite ni msanii kama alivyokuwa jiwe. Ukichanganya na upumbavu wa wa tz utaona kama ana ushawishi ila ni wapumbavu pekee ndo huwa wanamskiza huyo kichaaKUA MWENEZI, UNATAKIWA UWE NA KIBALI CHA KUKUBALIKA NA WATU .NA KIBALI HIKI MTU ANAZALIWA NACHO, UNAPEWA NA MUNGU TU.
KWA SASA HAMNA MTU CCM MWENYE KIBALI HIKO.
WOOOTE WAJAO, WATABAKI KUTEGEMEA WASANII ILI KUJAZA NYOMI LA WATU.
MAKONDA ALIKUA NA KIBALI HIKO KUTOKA KWA MUNGU MWEMYEWE, ALIMPA, NA ITABAKI KUA HIVO.
KAMA UNABISHA, CHUKUA MITUNGI YA GESI UITE WATU MKUTANONI KWAKO
ALAFU KESHO YAKE, MAKONDA AITE WATU BILA KITU CHOCHOTE, ZAIDI YA KUZUNGUMZA NAO.
NDIO UTAELEWA KIBALI NA MAMLAKA, HUTOKA KWA MUNGU