Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuabudu kitu ambacho hujawahi kukiona, kukihisi wala kukishika ni akili timamu?kwahio anae abudu N,gombe unahisi ànaakili timamu?
Muadilifu, umeacha ule mchezo wa laana unaoshadadiaga -ushoga na usagaji?cocastic
Kwa sababu, anajua kuzungumza, anajua propaganda na figisu za siasa, ni muadilifu na ana hekima.
Au kama walivyo wachaga majizi automaticKila andiko lako kuhusu Mtaka huwa unaandika hizo sentensi yaani una copy na ku-paste una chuki gani naye maana sio mara ya kwanza , kusema Mtaka anajisikia, au ninyi ni wale wazazi mnataka watoto wenu wasaidiwe ajira aliposhindwa kuwasaidia mnamnanga..Wajita kujisikia/kudharau hiyo ndo Sifa yao kama walivyo wasukuma ni washamba automatic hiyo ni hulka yao na huwezi kuiondoa maana ndo Sifa Inayowatambulisha km wahaya walivyo na majivuno.
Huyu mpuuzi aliyeshiriki kutaka kuuza bandari zetu? Mtu la kwanza japo awe na shahada ya chuo kikuu sio huyu mpuuzi elimu hana na kaweka tumbo mbele ana njaa kali😭😭Steve Vyerere
Huyu anafaa sema hawataki watu wa kutumikia umma ila kutumikia wapigaji. Wangekua serious nchimbi asingewekwa katibu mkuu maana hafai. Ni mtu mpigaji na wa kulinda maslahi yao.Mtaka Anaweza Endapo Tu Ataitenda Kazi Hiyo Bila Kufuata Upepo
Dini zote za kuletewa hasa Uislamu na Ukiristo inabidi uwe mjinga sana Ili kuzikubali.mungu wenu wahuni wamemtundika nahakuweza kufanya lolote🤣ukiristo niujinga broo
kwahio anae abudu N,gombe unahisi ànaakili timamu?
Hana akili.Haji Manara ni kada mzuri wa CCM kwa miaka mingi, maarufu, anajuwa kuongea na anajuwa kusambaza ujumbe wake kwa staili yake mwenyewe.
Naamini kazi hiyo Haji Manara itamfaa sana na pia naamini kawacha ujinga wa utotoni / ujanani.
Manara hoyeeee
Tanzania akili za nini?Hana akili.
MwijakuNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Yaani niajiri mtu afanye kazi ya kuongozaNafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!
Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!
Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
ccm katibu uenezi wao huwa wanataka wapiga mdomo tu.Huyu mpuuzi aliyeshiriki kutaka kuuza bandari zetu? Mtu la kwanza japo awe na shahada ya chuo kikuu sio huyu mpuuzi elimu hana na kaweka tumbo mbele ana njaa kali😭😭
Kha! yatakua maajabu hivi hata mwezi amemalizaMhe. John V.k. Mongella,soon atateuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM taifa kuchukua nafasi ya dkt Nchimbi ambaye Hadi Sasa kapoteza mwelekeo
Naota wakati nimeandika yalitokea?We unaota
Shida ni majivunooooAnthony mtaka hata uwaziri mkuu wa hii nchi anauweza sijawahi kuwa na shaka nae