Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

Tumsaidie Rais Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

Mimi ninaweza kufanya kazi ya uenezi.Nina uhakika nitakuwa Mwenezi Bora tangu kuanzishwa Kwa CCM.
 
Kila andiko lako kuhusu Mtaka huwa unaandika hizo sentensi yaani una copy na ku-paste una chuki gani naye maana sio mara ya kwanza , kusema Mtaka anajisikia, au ninyi ni wale wazazi mnataka watoto wenu wasaidiwe ajira aliposhindwa kuwasaidia mnamnanga..Wajita kujisikia/kudharau hiyo ndo Sifa yao kama walivyo wasukuma ni washamba automatic hiyo ni hulka yao na huwezi kuiondoa maana ndo Sifa Inayowatambulisha km wahaya walivyo na majivuno.
Au kama walivyo wachaga majizi automatic
 
Steve Vyerere
Huyu mpuuzi aliyeshiriki kutaka kuuza bandari zetu? Mtu la kwanza japo awe na shahada ya chuo kikuu sio huyu mpuuzi elimu hana na kaweka tumbo mbele ana njaa kali😭😭
 
Mtaka Anaweza Endapo Tu Ataitenda Kazi Hiyo Bila Kufuata Upepo
Huyu anafaa sema hawataki watu wa kutumikia umma ila kutumikia wapigaji. Wangekua serious nchimbi asingewekwa katibu mkuu maana hafai. Ni mtu mpigaji na wa kulinda maslahi yao.
 
Haji Manara ni kada mzuri wa CCM kwa miaka mingi, maarufu, anajuwa kuongea na anajuwa kusambaza ujumbe wake kwa staili yake mwenyewe.

Naamini kazi hiyo Haji Manara itamfaa sana na pia naamini kawacha ujinga wa utotoni / ujanani.

Manara hoyeeee
Hana akili.
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Mwijaku
 
Nafasi ya uenezi ni kubwa sana maana ndio kipaza sauti cha chama!

Tunatakiwa kupata mtu anayekubalika na jamii na hana makandokando, awe mwenye kujishusha na kupokea maelekezo ya wakubwa zake!

Wana JF tumsaidie mama kupata mtu sahihi hapa!
Yaani niajiri mtu afanye kazi ya kuongoza

Namlipa pesa nyingi na marupurupu na madaraka makubwa zaidi ya mungu

Halafu leo niache kazi zangu nipoteze muda wangu kumsaidia jinsi ya kutawala?

Kwa lipi hasa?

Sio wajibu wangu kutawala ni wa kwake....atumie ubongo wake..kama hawezi arudi Kizimkazi tumpe mtu mwingine afanye
 
Huyu mpuuzi aliyeshiriki kutaka kuuza bandari zetu? Mtu la kwanza japo awe na shahada ya chuo kikuu sio huyu mpuuzi elimu hana na kaweka tumbo mbele ana njaa kali😭😭
ccm katibu uenezi wao huwa wanataka wapiga mdomo tu.
hizo degree zibaki uko kwenye thermometor
 
kenani laban kihongosi, ana ushawishi sana kwa wananchi kila alipotolewa wananchi walimwaga machozi, ni mchapa kazi haswa kiasi iifikia makamu mweyekiti wa ccm (kinana) kuongea hadharani kuwa kijana anachapa sana kazi mpaka hanenepi, kama kweli ccm ipo silious na inataka mageuzi basi huyo mtu anatoshaa!
 
Back
Top Bottom