Tumsaidie Steven Mdoe aka Dj Steve B anaumwa sana

Pia amefanya kazi East Africa Radio
 
Acheni kubwabwaja... Clouds media is handling it...
Wangekuwa na shida wangekuja rasmi kutueleza ktk media zao.

So shut the fkuc up.

Get well soon DJ.
Sasa matusi ya nini mzee? Kwani nimeitaja Clouds hapo? Wewe ni msemaji wa Clouds? Kama Clouds wanalifanyia kazi ni vyema sana na hata sitaki kugusia hayo na usianze kuchokonoa vitu kwa kujifanya unatetea Clouds na wengine tunataka kuichafua.

Muhimu ni Dj Steve B asaidiwe kwa haraka inavyowezekana na tunashukuru kama kuna mipango inaendelea.
 
Paul Makonda Msaidie Ndugu Steven Mdoe aka Stevie B amekuomba msaada direct.
 
Kwa maelezo yake jamaa anahitaji kama 60m, wakiungana Wasanii/Wadau wa sanaa kama mia moja hivi, wakichangisha/tafuta 1m kila mmoja wanamaliza.
 
Kwa maelezo yake jamaa anahitaji kama 60m, wakiungana Wasanii/Wadau wa sanaa kama mia moja hivi, wakichangisha/tafuta 1m kila mmoja wanamaliza.
Nawa scratch kama stevie B kwenye LP.
-Wasanii na Ma DJ waungane kwa pamoja,nimeona John Dillinga Matloe ametoa kama 3m kumchangia Stevie B.
-Paul Makonda najua hili lipo ndani ya uwezo wako,wewe ndio kiongozi wa wasanii msaidie Stevie B
-AKipelekwa nje kufanyiwa upandikizaji atapona kabisa maana kuna jamaa yetu flan na yeye alipelekwa india kwa sasa amepona vizuri.
 
Acheni kubwabwaja... Clouds media is handling it...
Wangekuwa na shida wangekuja rasmi kutueleza ktk media zao.

So shut the fkuc up.

Get well soon DJ.
Clouds media iz handilingi iti hahaha.... Steve b anaangaika na ndugu zake tu clouds kila mtu anaendelea na maisha yake ni kama hawamjui.
Katamka kwa kinywa chake anaomba achangiwe it means wananchi ndio kimbilio lake kwa sasa wewe unatoka povu sijui la nini
 
MatapelI hamuishi mbinu
 
Pole yake ugonjwa mbaya sana na gharama zake kubwa. Ukiamka asubuhi kabla ya kula chochote ni vizuri unywe maji mengi kama utaweza hata lita 2 za maji inasaidia kusafisha figo. Maji ni muhimu sana mwilini
 
Nimetizama video yake aliyofanya intv na GP jamaa kweli anahitaji sana msaada hali yake ni mbaya sana,siamini mpaka sasa wadau wa bongo fleva hawamuoni.
 
Umenena vyema sana bro binadam tusijisahau sana kujitenga na Mungu na kuwa mbali na jamii inayotuzunguka,lisaa limoja na nusu nyuma nilipata mgeni hapa nyumbani ni jirani yangu hatujazoeana sana maana bado ni mgeni hapa nilipohamia na huyu brother alipata accident ya pikipiki.

Ktk mazungumzo yetu mawili matatu kuzungumza harakati za kimaisha tukafikia mkasa wake uliompata,in short alichonieleza siyo marafiki tu aliokuwa anakula nao maisha hata ndugu zake aliowahi kuwasaidia wengine mwaka wa tatu huu hata simu zake hawazipokei,zaidi walimtembelea pale MOI Muhimbili kisha wakarudi kutangaza mtaani kwamba kama siyo wa leo basi kesho.

Mungu amponye huyu Dj.
 
Unakosea Mkuu, suala la ugonjwa usiliangalie negatively kihivyo, matatizo kama ya figo na viungo vingine yanaweza kumpata yeyote yule aisee...siku ukipata nafasi nenda pale "Ocean road Cancer Institute" wagonjwa wengi wa Cancer ya Mapafu si waliokuwa wavuta Sigara!
 
Nimetizama video yake aliyofanya intv na GP jamaa kweli anahitaji sana msaada hali yake ni mbaya sana,siamini mpaka sasa wadau wa bongo fleva hawamuoni.
Inasikitisha sana,wadau wachache sana walioonyesha uhamasishaji wa michango,nakumbuka kwa sajuki wabongo movie walifanya harambee sana ila kwa wabongo fleva wapi kimya sana,DJ Stevie B amesaidia wabongo fleva wengi sana kuwa promote.
 
Hii ndio JF kuna watu wanakera itabidi uwazoee,mimi mwenyewe intvw nimeiona na kweli jamaa anahitaji msaada tena wa haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…