Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Vijana wengi tuliotoka familia zetu za pangu pakavu Kuna namna tunafeli kujihusisha na siasa mapema kabla mambo hayajakaa sawaHuko kwenye siasa ata ishia kuwa cahwa, mpaka ana zeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wengi tuliotoka familia zetu za pangu pakavu Kuna namna tunafeli kujihusisha na siasa mapema kabla mambo hayajakaa sawaHuko kwenye siasa ata ishia kuwa cahwa, mpaka ana zeeka
Amesomea nini huyo kijana? Au ni wewe ndio huyo kijana?sure,
nadhani wenye watoto hivi sasa ni kujiandaa na kumuandalia vizuri kijana wako masingira mazuri asipitie huko
Kuna broo mmoja,, Kama Liza chuo Mwaka huu(team chadema).Vijana wengi tuliotoka familia zetu za pangu pakavu Kuna namna tunafeli kujihusisha na siasa mapema kabla mambo hayajakaa sawa
Gentleman,kaka,naomba zingatia haya kwanza najua age yako huenda ikawa 33 na una shahada ina maana unakosa sifa kuwa talented na kuweza kumaintain katika kampuni weng wa hrs watakuona sio profitable coz soon unaingia uzeen na kampuni inataka vijana ambao watakaa muda mrefu kwenye industry...kw
Yes,Kama nakuona vle
CHASO huyo akishajenga jina soon anaswitch harakati anaenda CCM analamba teuzi mfano Pauline gekul, silinde, katambi na wengnKuna broo mmoja,, Kama Liza chuo Mwaka huu(team chadema).
👉Ana zunguka huyoo😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ...nyeto asifanye Nini???Nyeto mkuu Tlaatlaah asiache.... Although Kuna gepu moja kubwa sana watu wamlisahau. Gepu hili lipo kwenye innovation! Nguvu ya kuzitumia kusaka ajira zitumie kubuni miradi au njia mpya...
Vipindi vinavyoruhswa dstv, clouds nk ni ubunifu. Hivyohivyo vifurushi kama jipimie... Nk ni watu wanabuni, wanaacha impact na wanasogea!. That's all!
Maybe, huwa sipendi kuwa katisha tamaa watu kwenye harakati zaoCHASO huyo akishajenga jina soon anaswitch harakati anaenda CCM analamba teuzi mfano Pauline gekul, silinde, katambi na wengn
Mimi mwenyewe jobless wa kimataifa 😂😂🤒advice then how to move on visionarly and missionary to heat the specified target
Hapa nachemsha mboga, Nile kiporo Cha ugali-🤒inafurahisha na inasikitisha lakini maisha Lazima yaendelee kwa namna yeyote ile,
Positivity matters most
USHAURI Mimi nimemliza chuo 2015 nilifanya BAED ...Mojor Geo minor HistoryMnunulie sindano ya kushonea viatu,dawa ya viatu hata akianza rangi nyeusi, dark tan na neutral,kushungi cha kupakia dawa na brushes hata mbili ama tatu.
Vitambaa vya kufutia vumbi kwenye viatu ikiwezekana na chombo cha kuwekea maji na kipande kidoogo cha sabuni.
Msogeze maeneo yenye msongamano wa watu km vile nyumba zenye wapangaji wengi,wanapoishi wanafunzi wa vyuo,karibu na salon ya kike na ya kiume. Achukue pair mbili za viatu vyake akavianzie kabisa kupiga umasikini teke.
Kuna kingine unanidai?
Sasa wafanyajeee??Nikipita maeneo ya vyuo vikuu i.e UDSM,TIA,SAUT etc nikaona wanafunzi wanaenda madarasi kusoma hua nasikitika Sana.
Yajayo hayatawafurahisha.
It is impressing, empowering , encouraging and for sure very interesting....USHAURI Mimi nimemliza chuo 2015 nilifanya BAED ...Mojor Geo minor History
Nilitumia Mika Zaid ya mi2 kujitolea kweny shule Moja ya masista IPO Songea
Badae nilianza kujihusisha na kilimo Cha Mahindi trust me nilianza na heka Moja asahv nalima heka 15. Navuna Zaid ya gunia 200
Najuitia sana kupoteza muda kuatfuta Ajira nakujitolea
Vijana wengi hawataki kuanza upya
Nililima heka Moja Kwa mkono wangu w
Mwenyewe nilikongoroka U handsome wote ulitoka..nikanunua mbolea mifuko 3
Nikatia nikavuna gunia 17
Mwaka ulio fata ilikua 2018 nililima heka 3
Lakin nilikua na mtaji wa 180k ndio nilinunua mbolea mwk wa kwanza
Asahivi nimenunua Bajaj mbili mpya
Nimewapa vijana mmojaa ana diploma mwingine ni Account.
Wote nimewapa mkataba wakimaliza Miaka 2 zinakua zao.
Ukiwaambia ingia shamban Utaskia sina mtaji .....
NB: Shambani niliingia hakukua nyumbn ni mkoa ambao hawanijui kbisaaaa
Ruvuma ndani kabisa Kijiji kinaitwa Liganga wanalima Mahindi balaa.
Nipo huku Sasa ni kama nyumbani na nimeoa mngoni.maisha yanasonga.