Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
W
Wangapi wana GPA nzuri ila bado wapo kitaa na msoto tu,na wangapi wana GPA fyongo ila wana ajira,mimi aliyekuwa best student katika kozi yangu pale MUHAS , mpaka leo hana ajira ,,
😄😄 Walikubali wenyewe.Ajaribu kazi za vibarua viwandani na Katika miradi ya ujenzi, huko ndiko mimi kulikonilea. Ingawa asione aibu kupokea 2500 mpk 7000 kwa siku na akikuta anatumwa na watu wa standard 7 na pia wanakula mshahara mnono kuliko yeye. Mi nilichekwa sana ati msomi unafanya kazi moja na asiyesoma, nilivumilia ila mwishowe nilizoea na wakaanza niita professor
Big up soja.Asante Mungu mwaka wa tano bila ajira,watoto wawili na mke. Watakula nini,watavaa nini,shule wataendaje?
Maswali hayo na mengine mengi kuhusu wao sijawahi kujiuliza kwasababu wakati nafanya uamzi wa kuwa na familia sikuwahi kujiuliza hayo yote lakini kuamini katika kujituma kwenye kazi yoyote halali ndyo chanzo cha wazo la kuanzisha familia.
huwa nina mawazo ya kusaidia jamii ya kutengeneza mfumo/ sytem bt uwa nakosa nianzie wapiNyeto mkuu Tlaatlaah asiache.... Although Kuna gepu moja kubwa sana watu wamlisahau. Gepu hili lipo kwenye innovation! Nguvu ya kuzitumia kusaka ajira zitumie kubuni miradi au njia mpya...
Vipindi vinavyoruhswa dstv, clouds nk ni ubunifu. Hivyohivyo vifurushi kama jipimie... Nk ni watu wanabuni, wanaacha impact na wanasogea!. That's all!
Mkuu Analyse,Tokea 2015 mpaka sasa kwavile hajafa njaa, maana yake hela anaingiza. Je, anafanya mishe gani kwa sasa?
Anaishi wapi?
Kujipanga kwa mtu ambae hana uhakika wa kipato chake ni kufanya kazi kwa kujituma tu na hakuna namna yoyoteBig up soja.
Unashauri tuwe na familia bila kujipanga?
What are core objectives of your plan?huwa nina mawazo ya kusaidia jamii ya kutengeneza mfumo/ sytem bt uwa nakosa nianzie wapi
Eeh walinielewa 🤣🤣🤣😄😄 Walikubali wenyewe.
Hpn wacha watoto wapate elimu bhan kwanin uogope mungu ndio anapanga na kutoa risiki Ni vyema wakasoma kuliko kuto kusoma kbsaaNikipita maeneo ya vyuo vikuu i.e UDSM,TIA,SAUT etc nikaona wanafunzi wanaenda madarasi kusoma hua nasikitika Sana.
Yajayo hayatawafurahisha.
Hyo Hali ya huyo kijan ilishanipitia na kwa Sasa maisha yanaenda ingwa kwa Kweli yake limezid mnk ,,mm wakt nawaza hayo Nina kiwanja Cha dhamani ya milion 15 HV japo nilikuwa Sina maisha kabsaahuenda wamo humu, na bila shaka watakucheki wakiwiwa kufanya hivyo
Mm baada ya kuhahah San baadae nikatulia akili ndipo nikapata njia sahih na vitu vya kufanya na kuningiziaa pesa aambovyo nilipata experience mtaaniAlmanusura niseme ni ww[emoji848]lkn nikakumbuka siyo ww bn we ni mleta mada tu!
Kwa mtu aliemaliza chuo 2015 saiv atakua na miaka 30+ sio umri mbaya sana ukituliza akili, kwa miaka 8 uliyokua mtaani Kuna jambo utakua umeligundua na unaweza lifanya either mjini au kijijini kafanye kwa moyo wote.
Epuka kujiweka karibu na siasa na wanasiasa, achana na mawazo ya kujiweka karibu na makada wa chama flan ukiamini kwenye uteuzi, kua low key fanya yako siasa ina wenyewe
Epuka mahusiano kama hujaoa usihangaike piga kazi zako chora ramani vzr kila unachokifanya fikiria namna inaweza kukupa Hela sio kupoteza Hela.
Baki kwenye Imani yako acha kuwaza miujiza, acha kuwaza laana/baraka, acha kuwaza unachopitia ni majaribu, sali kwa Imani yako ishi vzr na watu Linda amani ya moyo wako.
KWA SAIVI NIISHIE HAPA
Ukitulia vzr, ukafuta baadhi ya standard uchwara tunazijiwekea kisa tuna upper class bas mambo yanaenda vzr tuMm baada ya kuhahah San baadae nikatulia akili ndipo nikapata njia sahih na vitu vya kufanya na kuningiziaa pesa aambovyo nilipata experience mtaani
Nilidhani upo specific na mtu mmoja, kumbe unaongelea collectively?Mkuu Analyse,
siyo mtu moja ama wawili katika hili,
Ni kundi kubwa kidogo, miongoni mwao binafsi ninawafahamu. Wengine ni ndugu zangu, jamaa na marafiki zangu. Wengine tulisoma shule pamoja na hata michezo ya utotoni tuliicheza pamoja. Yawezekana pia unao.
Bibi jmn kwanin usimtumie huyo kijana hata dola 500 Kuna mtu kaniambia uko CanadaAkajiandikishe BBT kwa Bashe au Ulega.
Acha kuwatisha...Nikipita maeneo ya vyuo vikuu i.e UDSM,TIA,SAUT etc nikaona wanafunzi wanaenda madarasi kusoma hua nasikitika Sana.
Yajayo hayatawafurahisha.
Word....👊👊👊mpe njia kijana kwa uwazi na upendo kabisa...
usimfiche,
hapo aepuke kua karibu sana na makada wa chama Fulani, muelekeze akiambatana na chama kipi sasa atapata ahueni ya mahangaiko yake na kamwe asithubutu kuambatana nao🤓, na kwakweli utakua umemsaidia sana kiasi kama ni msaada..
Na miaka 8 aendelee kujifariji, kung'ang'ana na kukomaa apoapo alipo kusaka kuajiriwa? Au akacheki na maeneo mengine mbali kidogo lakin ajitose kujiajiri pia?
Umenikonga sana kumshauri kijana ajiepushe na mahusiano ambayo for sure ni kupteza pesa tu hali ya kua hana ajira. Badala yake apige kazi kwa bidii na kujijengea uchumi wake mwenyewe utakae muwezesha sasa kutafuta mchumba na hata mke amtakae kwa ujasiri mkubwa. Maana uchumi ni nguvu na uchumi ni ujasiri.
Human being are political Animals.
Siasa haiepukiki.
If you don't want to take part in political administration don't blame to be ruled by a fools.
Kila kitu kwa kasi, kiasi na viwango tajika na hakika tutafika...